Ameshakoma sasa lo!
Akifikiria alivyotangazwa tu hatamani hata kutoka hapo kitandani!!!
haahaaa twin huo ni mkosiii
Watu mnahasira na ugumu wa maisha, mmpeta habari ya kuwaliwaza. Tumekwisha choka na thread za namna hii. Mkiwekewa uzi wa kuzalisha kuku bora na ufuguji wa kisasa hata thread hamfungui. Ndio maana tupo nyuma kimaendelea. Jifunzeni kujadili mambo ya msingi siyo kujadili watu. Siku tatu mpo matanga, pumba.u zenu
Uwiii!!Ahahahahahaha unamaanisha ataendelea kusema anaumwa?
Ila kooooote hilo sakata halikuniwacha hoiii!
Hapa tu kolig,
"Siwezi kufunga ndoa kesho maana hali Yang hainirihusu kuvaa viatu virefu" sosi Mwananchi!
Khaaaa!
mume wa mtu mtamu jamaniii .
nakwambia nilicheka !Uwiii!!
Imeingizwa lini hii kuwa kiatu kirefu ni kigezo muhimu cha ndoa kufungwa?
Alishachanganyikiwa koligi!!!
Alishaanza kujizoesha atakavyoitikia akiitwa Mrs. fulani kuanzia J'pili!!!
Alikuwa anaficha kichwa kisinyeshewe huku kiwili wili kiko nje!!!nakwambia nilicheka !
Hatar sana hiZ mambo!
Ila aliwaza nn?
Sipati jibu
Wanaume wachache, wanawake wengi
Kugoma kushare ni uchoyo
Watu walishashtukia wanadai warudishiwe michango yao maana hakuna arusi. Hapo ndo timbwili kali zaidi.Alikuwa anaficha kichwa kisinyeshewe huku kiwili wili kiko nje!!!
Ukumbi umeshalipiwa koligi na watu wameshaandaa viwalo vinavyoendana na color of the day,unawaambiaje hakuna shughuli?
Alilazimishwa kufikiri kwa haraka atoe neno la kupoza hasira ya waalikwa wakati yeye mwenyewe akili ilisha stuck!!
angecheleweshewa maziwa huyu angetuacha
It depend na age group yako kama uko above 50 yrs wanawake ni wengi maana hili kundi limejaa wajane ila kama ni below that group wanaume wako wa kumwaga hata hakuna haja ya kushare!
Ni kweli twin ila aachwe sasa auguze majeraha yake in peace!!!
Fikiria kibuti cha kimya kimya tu ambacho mnakijua wawili tu kinauma,je hiki cha kutangazwa??
Watu mnahasira na ugumu wa maisha, mmpeta habari ya kuwaliwaza. Tumekwisha choka na thread za namna hii. Mkiwekewa uzi wa kuzalisha kuku bora na ufuguji wa kisasa hata thread hamfungui. Ndio maana tupo nyuma kimaendelea. Jifunzeni kujadili mambo ya msingi siyo kujadili watu. Siku tatu mpo matanga, pumba.u zenu