Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,211
- 36,193
K matata pamoja na uzee wote ulionao bado tu unapenda kutongozwa?
Wewe umeacha kutongoza??!
K matata pamoja na uzee wote ulionao bado tu unapenda kutongozwa?
Arifu pole sanaAsalaaam,
Simaanishi kila unapotongoza lazima ukubaliwe, hapana! Ila nyie tunaowatongoza hata kama mnatuchukulia vikatuni, viboya na viwehu mjitahidi japo kuthamini muda wetu wa kukaa na kuwafikiria.
Unajua kutongozwa ni baraka? Hadi mtu kakaa chini kakufikiria weee mwisho kaona niende ujue yamemfika shingoni.
Niwashauri muwe mnaenda mbali ukimkataa mtu mwambie sababu ya kumkataa na mshauri cha kufanya. Sio unamkaushia asijue shida nini.
Kama tulishatongozana PM ukanikataa hapa ubaki kimya.
Aiseee kumbe ni nature daahUko obsessed na wanawake lol
nikuambie tu,the moment umekutana na mwanamke,kabla hujamtongoza anajua kama amekupenda au la!..kutamka maneno/kutongoza ni final,,,lla decision akusikilize au akupotezee ni jambo linatokea naturally before kutongoza....
Kwahyo sisi ambao tuna wanawake wanaofanana na wanaume hatupati stimu
Hapana bado sijaacha nilikua naogopa kukutongoza kwa kudhani huenda sasa hivi umeshazeeka na kujiona ni bibi kwa hio mambo ya kutongozwa umewaachia wajukuu zako.Wewe umeacha kutongoza??!
😂😂😂😂 spare my ribs plz.Wapenda maendeleo lengo letu mpk 2020 tufikie uchumi wa kati
Ukiwa ni mpenda maendeleo lzm uwe unakwenda na muda.
Unafikiri tukizubaa zubaa tz ya viwanda itapatikana Vipi?
Jackie umeamka poa?spare my ribs plz.Wapenda maendeleo lengo letu mpk 2020 tufikie uchumi wa kati
Mkuu umeshaamka tyr,Au ulibaki jf juilinda forum yetu isiibiwe!?Jackie umeamka poa?
Maana jana ulilala hoi taabani.
Karibu tulisongeshe gurudumu la maendeleo.
Namshukuru Mungu kwa siku nyngn ,niko poa kbs.Mkuu umeshaamka tyr,Au ulibaki jf juilinda forum yetu isiibiwe!?
Pole mwanangu Daby dunia imebadilika. Kasikilize ule wimbe wa Diamond na wenzake wamevaa mawigi wanavyosema. Zilipendwa. Eti nakuona kwenye glas nikinywa maji? Wenzio wa sasa sijui wanataka nini sababu nimejaliwa midume tu ka dada kamoja nako kama hao unaowataja.Asalaaam,
Simaanishi kila unapotongoza lazima ukubaliwe, hapana! Ila nyie tunaowatongoza hata kama mnatuchukulia vikatuni, viboya na viwehu mjitahidi japo kuthamini muda wetu wa kukaa na kuwafikiria.
Unajua kutongozwa ni baraka? Hadi mtu kakaa chini kakufikiria weee mwisho kaona niende ujue yamemfika shingoni.
Niwashauri muwe mnaenda mbali ukimkataa mtu mwambie sababu ya kumkataa na mshauri cha kufanya. Sio unamkaushia asijue shida nini.
Kama tulishatongozana PM ukanikataa hapa ubaki kimya.
Mimii siko poa kabisa wngNamshukuru Mungu kwa siku nyngn ,niko poa kbs.
Nina amini na ww mpenda maendeleo mwenzangu uko salama
😂😂😂😂😂😂😂 baada ya kuwaza ukapata jibu gnMimii siko poa kabisa wng
Jana usiku kucha sijapata usinginzi kwa sababu ya kuwaza na kutafakari kwa namna gani mimi na Jackie wng tunaweza kulisongesha mbele hili gurudumu la maendeleo.
Jackie banaaaaaaaabaada ya kuwaza ukapata jibu gn
Kama jina langu,eti?!Jackie banaaaaaaaa
Hivi unatambua kua wewe ni mwenye bahati kuliko wasichana wote hapa Jf?
Umebarikiwa kila kitu hapa chini ya jua kasoro kitu kimoja tu.Kama jina langu,eti?!
Hahahahaha.kwnn
Wewe umejuaje nimebarikiwa? Hujawahi kuniona na wala hunifahamuUmebarikiwa kila kitu hapa chini ya jua kasoro kitu kimoja tu.
Una uhakika kweli na unachokisema au unahisi tu?Wewe umejuaje nimebarikiwa? Hujawahi kuniona na wala hunifahamu
Nn nimekosa
Ndio,100%Una uhakika kweli na unachokisema au unahisi tu?
Kwa hio unapingana na neno la bwana kua amekubariki?Ndio,100%
Aa! Sijakataa ingawa sio sanaa.hahaKwa hio unapingana na neno la bwana kua amekubariki?