Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,044
- 158,738
Utaulizwa na aliyekupa baraka.
Nimekutafuta kweli kila mahali.
Nimekutafuta kweli kila mahali.
Nan ataiuliza umentafuta wapi dogo unazingua
Nan ataiuliza umentafuta wapi dogo unazingua
Hahahaaaa!!
Alafu nimekununia.
ππππππππππππππππ€π€π€π€π€π€πππππππ mm pia kuna fala namchunia anaboa sana.. ukomeeeππKuna limoko nimetoka kulitukana eti linanichunia kama namwomba uzima
eti nimekuwaza jus 2min ago..nilkua nimelala nimejingelesha hv espy ile hela ndo anakula alonefees ya uagent hanipi!au shem hjapona
Unajua mnaboa sana bora unambie unitaki au vp sasa kukaa kimya ama kujib ujinga wakat wote watu wazima sipendagiπ€π€π€π€π€π€ mm pia kuna fala namchunia anaboa sana.. ukomeee
Kuna limoko nimetoka kulitukana eti linanichunia kama namwomba uzima
Unajua mnaboa sana bora unambie unitaki au vp sasa kukaa kimya ama kujib ujinga wakat wote watu wazima sipendagi
Hahahaaa!! Shem wako alinishushua juzi sina hamu, slikoment then nikaku cc acha anishushue!! Eti "wanawake wa siku hizi mambo yetu hadi mashosti wajue".
Leo tena nimecoment "ulichopewa bure kumnyima mwenzio dhambi" akanijibu eti wanawake wengine hata ukiwapa namba wanakupotezea hawakutafuti.
Sasa mshenga unavyoona hapo kuna kupewa pesa kweli
ushabuma hyo shoga!kaka inabidi awekwe kati atulizwe sema na ww mapepe sana
..unanikera!unaharibu haiba zetu wanawake..mtaftie walau siku 1 muende wote beach..usimpe dudu.. ww kammasaji tu mbeleleze mtoe kwa ex wake kimawazo.dadek!shauriro.... mkumbatie tu ww yaan ila usipime oil... jichetue bibi wee khaa
ππππππππππππ .. mm ningekuwa ww ningepotea mazima..mnaboa kila mara txt mara masimu simu yasiokuwa na mpangilio yaan ww utapiga naiangalia tu dadek zako wwπ!bas walau ijumaa km.hii mpigie simu jifanye unataka kumpa out..au jifanye kumuuliza unataka kunywa nn leo..ht akikuambia.pepsi ya moto we tuma ht 10 bas!ππ..ss weee kuuutwa kupiga piga simu ova nnπ€π€π€!gerahiaAta wewe mmoja wao kwenda uko
Sasa mateso yote hayo mshenga ili nivumbue mbadala wa tanzanite au!!!
Ata wewe mmoja wao kwenda uko
πππππππHahahaaaa! I hope hili ni la @manengelo
.. mm ningekuwa ww ningepotea mazima..mnaboa kila mara txt mara masimu simu yasiokuwa na mpangilio yaan ww utapiga naiangalia tu dadek zako ww!bas walau ijumaa km.hii mpigie simu jifanye unataka kumpa out..au jifanye kumuuliza unataka kunywa nn leo..ht akikuambia.pepsi ya moto we tuma ht 10 bas!..ss weee kuuutwa kupiga piga simu ova nn!gerahia
Mshenga ushanisaidia kujibu.!ndo.maana mabinti siku hiz mnashindwa kuishi na ndoa zenu..ujuaji mnooo...