wanawake chakaramo wanaolewa zaidi kuliko wanaojiheshimu

wanaodai kujiheshimu wengi ni wanafiki - kanisani, kwaya, mwakasege, etc - ila wanatiwa kama signature.
walio 'mapepe' ni free thinker, na wengi wana experience na maisha hivyo hawatoi hovyo
 
kuna jamaa yangu naye aliamini kwenye kanuni hii akaoa papa la mji kila mwenye p mjini aliwahi hata mwanafunzi wa chekechea jamaa alisema alipenda expilience aliyokuwa nayo chumbani kwani jamaa alikuwa anafanyiwa majambo ambayo shetwani tu anawezwa fanyiwa na ibilisi, duuu alioa japo hata padri alikataa kufunga ndoa hiyo kwani naye alitejeka kwa hilo pashikuna ,pia alikosa mandiko ya kuwa baliki huyo mke wa taifa nzima ilbidi waende kwa bwana shauri afanye hiyo kazi naye akasema jamuhuri ya mungano wa tanzania inawabariki na kuwaunganisha mwanamke na wewe mume na wenzako wote,duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, hilo lipashikuna nilikuwa primaly school ukilicheki duuuuuuuuuuu.
 
mbona mi mapepe nagonga 35 yrs na sijaolewa?

Daugher? How did you establush kuwa ni mapepe?

In short< wanawake micharuko wanajua jinsi ya kuwakaba wanaume na kuwafanya wawaoe! Sasa kama mwanaume mwenyewe niwa kuja, basi haachiwi pumzi hadi kidole king'ae
 
Mcharuko wanajua mambo ile balaa aisee niliwahi kubananishwa na mrembo flani dah! kidogo nitangaze ndoa jombaa kuja kustuka kumbe katiba hairuhusu .....(Mcharuko hawanaga vihaibu vya kishamba wao mkiwa maeneo iwe kwa bed au viwanja hukufanya uone fahari kuwa nae tofauti na wale saa zote kama mpo church bhana..aaagh..
 
you musst always be yourself ukitaka kujibadili utajikuta unaangamia manake utafanya usiyojua ukifikiri uko kwenye track kumbe ndo unapotea tme will tell mumy just relax.
 
chereko chereko huku kinaimba kitu cha MLISEMA HAOLEWI MBONA KAOLEWA MLISEMA HAOLEWI MBONA KAOLEEWA
 
Back
Top Bottom