baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,655
- 4,241
Hahahaha kwa kwel hatujawahi kujua tunataka nini maana kuna saa na mimi natamani tu atoke😂😂ila sasa ifike saa mbili ajarudi lazima akute mnuno wa kutoshaNdivyo tulivyo yani hata na sie kuna muda unajiuliza kabisa hivi nataka nini sasa.....sijui hormones, sijui shetani, sijui upendo sijui hata tusingizie nini.
Mtusamehe bure tu.