moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Jamaa wa kicongo apewa sumu kwenye chakula na mkewe na baadae kumrekodi akiwa anakata roho... kisa nini? eti kugombania pesa ya child benefits na working tax credit
Inna Lilah wa Inna ilayhi rrajiuun Allah amsamehe makosa yake kwa dhulma aliyofanyiwa kinamama ni viumbe dhaifu na katili sana ndiyo maana kwa upande wakisema mara moja tu nipe talaka yangu wala simwambii hebu rudia tena duh.
Wanawake badilikeni. View attachment VID-20190223-WA0007.mp4
Sent using Jamii Forums mobile app
Inna Lilah wa Inna ilayhi rrajiuun Allah amsamehe makosa yake kwa dhulma aliyofanyiwa kinamama ni viumbe dhaifu na katili sana ndiyo maana kwa upande wakisema mara moja tu nipe talaka yangu wala simwambii hebu rudia tena duh.
Wanawake badilikeni. View attachment VID-20190223-WA0007.mp4
Sent using Jamii Forums mobile app