miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,966
hapo kwa wachaga ni kweli tunafanya hivyo endapo baba wa mtoto alikataa mtoto .. hatutupi mtoto sisi mkuu ukifanya mistake ya kukataa mimba na baadae ukaitwa ukakataa kuja au ukasema mtoto siyo wako ndugu yanu mtoto atapata baba tu ... sisi mtoto ni muhimuHasa wachaga,