Miezi kadhaa imepita baada ya mke wa jirani yangu kumfumania mme wake akiwa na mchepuko lodge fulani hapa mjini
Baada ya fumanizi mke wa jamaa aliapa kuwa lazima atalipa kisasi mbele ya mme wake na kadamnasi na kweli baada ya miezi kadhaa mwanamke akapata naye mchepuko
Na ili kumkomoa mme wake akaamua kupata ujauzito wa mchepuko na juzi kaenda klinic kupima ujauzito na HIV bahati mbaya kagundulika ameambukizwa na pia ameambukizwa kaswende
Hata hivyo alilaumu kuwa aliyemwambukiza ni mme wake na kuzua taharuki ya familia lakini hata hivyo walienda wote kituo cha afya wakapime kwa pamoja
Mwanaume amechukua vipimo ameonekana hana maambukizi yoyote na mwanamke ameonekana kuwa ni positive
Kikao cha familia kilipokaa mwanamke aliamua kuwa wazi na kuanza kujilaumu kuwa kisasi kimemgharimu
Mwanaume alipoulizwa kwani tangu mke wako akufumanie hamkuwahi kukutana kimwili
Mwanaume akajibu" Sikuwahi kwa sababu mwanamke alikataa kunipa mapenzi na nikaacha, na alikuwa yupo bize anachat na mchepuko wake hata tukiwa tumelala sikufanya lolote niliamua kunyamaza niangalie kisasi chake kinavyofanya kazi "
Mwanamke alivyoulizwa kuhusu kuchepuka na kuambukizwa HIV alisema" Ilibidi afanye hivyo baada mme wake kuwa na tabia za kumcheat,kabla hatujazaa mtoto wa kwanza nilimkuta na binti mmoja akaniomba msamaha nikaacha,nimewahi kuona sms anazochat na wanawake mitandaoni ,niliumia sana nikavumilia ,miezi kaadhaa imepita nilimfumania gest ndipo niliamua na mimi kuchepuka "
Je ni halali kulipa visasi kwenye ndoa ?
Wanawake acheni visasi,vinaweza kukugarimu
Baada ya fumanizi mke wa jamaa aliapa kuwa lazima atalipa kisasi mbele ya mme wake na kadamnasi na kweli baada ya miezi kadhaa mwanamke akapata naye mchepuko
Na ili kumkomoa mme wake akaamua kupata ujauzito wa mchepuko na juzi kaenda klinic kupima ujauzito na HIV bahati mbaya kagundulika ameambukizwa na pia ameambukizwa kaswende
Hata hivyo alilaumu kuwa aliyemwambukiza ni mme wake na kuzua taharuki ya familia lakini hata hivyo walienda wote kituo cha afya wakapime kwa pamoja
Mwanaume amechukua vipimo ameonekana hana maambukizi yoyote na mwanamke ameonekana kuwa ni positive
Kikao cha familia kilipokaa mwanamke aliamua kuwa wazi na kuanza kujilaumu kuwa kisasi kimemgharimu
Mwanaume alipoulizwa kwani tangu mke wako akufumanie hamkuwahi kukutana kimwili
Mwanaume akajibu" Sikuwahi kwa sababu mwanamke alikataa kunipa mapenzi na nikaacha, na alikuwa yupo bize anachat na mchepuko wake hata tukiwa tumelala sikufanya lolote niliamua kunyamaza niangalie kisasi chake kinavyofanya kazi "
Mwanamke alivyoulizwa kuhusu kuchepuka na kuambukizwa HIV alisema" Ilibidi afanye hivyo baada mme wake kuwa na tabia za kumcheat,kabla hatujazaa mtoto wa kwanza nilimkuta na binti mmoja akaniomba msamaha nikaacha,nimewahi kuona sms anazochat na wanawake mitandaoni ,niliumia sana nikavumilia ,miezi kaadhaa imepita nilimfumania gest ndipo niliamua na mimi kuchepuka "
Je ni halali kulipa visasi kwenye ndoa ?
Wanawake acheni visasi,vinaweza kukugarimu