Hujui ongealo nimeshasafiri mwanzoni mwa mwezi huu na hiyo ticketHiyo tiketi inakutaka uonyeshe proof ya covid-19 negative and or umechanjwa kama sharti la kuingia Germany.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui ongealo nimeshasafiri mwanzoni mwa mwezi huu na hiyo ticketHiyo tiketi inakutaka uonyeshe proof ya covid-19 negative and or umechanjwa kama sharti la kuingia Germany.
Wewe mbumbumbu tu,michanjo Sasahivi wanakuletea Mpaka nyumbani tena wanakubembeleza,leo hii unasema kuna mtu anatafuta chanjo kwa laki 5😁😀😃kweli wajinga awataisha TanzaniaUmeigomea wewe sio watanzania. Juzi nilikutana na mtu anaitafuta chanjo hata kwa kulipa laki 5 achanjwe, maana anataka kusafiri na bila chanjo hapewi hata booking ya ndege achilia mbali Visa
Kama walikukubalia uingie nchini kwao bila kufuata maelekezo ya kwenye tiketi fahamu kuwa walikufananisha na nyani kuwa huna akili kamili ya kufuata instructions. Kule Ulaya na Marekani nimekuta ustaarabu wa kuingia kwenye madaladala kwa foleni, yaani aliyefika kituo Cha daladala kwanza ndiye atakaekuwa wa kwanza kuingia kwenye. Mimi na wenzangu wa bongo na Zambia hatukuujua utaratibu huu, tulizoea kwetu mbadala tukaingia ndani bila kufuata utaratibu ule, hakika wenyeji waliduaa ni akina nani hawa na wametoka wapi washamba hawa. Walivyoingia kwenye gari hawakukubali kukaa na sisi kwenye siti, hawatuamini kama tuna akili timamu.Hujui ongealo nimeshasafiri mwanzoni mwa mwezi huu na hiyo ticket
Kuna watu hawana muda wa kwenda kwenye chanjo iliko. Mkiomba mnaletewa kazini kama mko wengi.Wewe mbumbumbu tu,michanjo Sasahivi wanakuletea Mpaka nyumbani tena wanakubembeleza,leo hii unasema kuna mtu anatafuta chanjo kwa laki 5😁😀😃kweli wajinga awataisha Tanzania
Awamu ya Tano hawakuona Cha kupinga?Hao jamaa sipendi politics zao na CCM yao lakini kwani tatizo liko wapi wakipinga? lazima utakuwa CCM wewe na akili zenu za ovyo ovyo, acha watu watoe maoni/mawazo yao bila kuwafikiria ni wanafiki au maadui, nchi ya wote hiyo acha waongee, kibaya ni kubambikizia watu kesi, kuteka na kuua
Hujui uongelo unapiga upwagu tu kwa stori za vijiweni.Kama walikukubalia uingie nchini kwao bila kufuata maelekezo ya kwenye tiketi fahamu kuwa walikufananisha na nyani kuwa huna akili kamili ya kufuata instructions. Kule Ulaya na Marekani nimekuta ustaarabu wa kuingia kwenye madaladala kwa foleni, yaani aliyefika kituo Cha daladala kwanza ndiye atakaekuwa wa kwanza kuingia kwenye. Mimi na wenzangu wa bongo na Zambia hatukuujua utaratibu huu, tulizoea kwetu mbadala tukaingia ndani bila kufuata utaratibu ule, hakika wenyeji waliduaa ni akina nani hawa na wametoka wapi washamba hawa. Walivyoingia kwenye gari hawakukubali kukaa na sisi kwenye siti, hawatuamini kama tuna akili timamu.
Kaka hata wewe walikuona kima kama ulichofanya kilitofautiana na kilichomo kwenye tiketi yako.
He, nurse!!! Umeishiwa hoja, ni mtu wa taaluma gani hairuhusiwi kufanya siasa? Kweli elimu yetu imeshuka sana, hata wasomi hawawezi kujenga hoja.Nurse umegeukia siasa? Haya mambo waachie wenyewe.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sisi Manurse huwa hatupendi siasa, nionyeshe waziri nurse nikupe historia ya madaktari marais, walimu marais.He, nurse!!! Umeishiwa hoja, ni mtu wa taaluma gani hairuhusiwi kufanya siasa? Kweli elimu yetu imeshuka sana, hata wasomi hawawezi kujenga hoja.
So what, mambo yanabadilika na uhuru wa maoni unabaki pale pale ni haki yao kuongea, na kwa story yako ya kituo cha basi ulaya inaonekana hukujifunza lolote umebaki na unyani wakoAwamu ya Tano hawakuona Cha kupinga?
Ndiyo maana post yako imekosa wachangiaji, bibi ushungi siyo mtu wa kumshabikia ni nyoka mbaya sn
"Hii nchi imechezewa sana." Mwisho wa kumnukuu .
nimecheka saana, huu ni uongo ambao hata mtoto anashitukaa lol.sipendi kutumia lugha nguvu sana, lakini itoshe tu kusema zile chanjo zilichukua mda mrefu kidogo baada serikali kuwakatalia watu wenye akili nyingi kutaka kuzimaliza siku hiyohiyo. Siku ya kwanza tu baada ya ufunguzi ilionekana misululu mirefu sana ya watu wenye upeo kutaka kuchanja. bahati mbaya au nzuri serikali ikatoa maagizo kwamba ambao sio watanzania wasipewe chanjo hizi za msaada kwa watanzania. Hivyo wale watanzania wenye akili nyingi sana walipanga misululu mirefu kupatiwa chanjo, hivyo zikabaki zile ambazo zilipelekwa mikoani walikozaliwa akina gwajiboy ambako hata leo wamekataa kutumia hata vyoo sembuse chanjo ambayo kijana wao msomi Gwajima wanaemwamini anawaambia kuwa ameoteshwa kuwa chanjo zitawageuza kuwa mazombie. Nakuhakikishia mpaka sasa unaweza kuwa na sh.1,000,000 na usipate chanjo kwa urahisi kama vile. Na hii ni baada ya watu kuwapuuza wapiga lamli na kuwaamini wale waliopata chanjo na wako salama usalimini mitaani wanaishi nao na kunywa nao wisky.
Kura kwa ccm unajidanganya,hivi gwajima alishinda kawe?Hahahaha yote uliyotaja 1-6,hakuna linalogusa moja kwa moja wapiga kura ambao ndo huamua Nani apite.
Hizi ni hoja za ujuajijuaji wa JF.
Kama chanjo siyo issue mbona Watanzania wameigomea?
Kama wamachinga siyo issue subiri 2025.