Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,109
Kaka huwezi kuijua Saudia kama huujui uislamu...Uhalisia wa nchi za kiislamu hasa za kiarabu na magharibi huwezi kuujua kupitia katuni,kupitia vyombo vya habari,kupitia siasa za kidemokrasia.
Usilete Udini kama wewe ni Muislam mimi pia ni Muislam . Saudi Arabia ni kibaraka mkubwa wa Marekani. Marekani anatafuta pesa kwa hiyo unavyofikiria aende nchi gani kuuza silaha zake? kama asipo wagombanisha Waarabu wenyewe kwa wenyewe wapate kugombana ili apate kuuza silaha zake na Waarabu kwa ujinga wa kutokuwa na akili wanamsikiliza M-Marekani wakamsahau adui yao mkubwa Mu-israil. Amka wewe inaonyesha una udini hupendi kuzungumza ukweli wa mambo wewe .Inaonyesha hujuwi Sias ya Marekani na nchi za Ulaya Magharibi juu ya Mashariki ya kati.Kaka huwezi kuijua Saudia kama huujui uislamu...Uhalisia wa nchi za kiislamu hasa za kiarabu na magharibi huwezi kuujua kupitia katuni,kupitia vyombo vya habari,kupitia siasa za kidemokrasia.
Na hakuna nchi ya magharibi inayoweza kuichezea akili nchi saudia.Naijua saudi kwa mizani ya kielimu.Mnaochezewa akili ni nyie msioujua uislamu na nchi ya Saudia.
Ushawahi kusikia vita vikipiganwa nchini Saudia ? Ukipata jibu usisite kuniambia....
Waarabu hawana akili kazi yao kubwa ni kustarehe na wanawake Mambo ya Siasa hawajuwi ndio maana wanapenda kumsikiliza bwana wao mkubwa M-Marekani.Waarabu Wataendeshwa na Marekani na nchi za Ulaya Magharibi mpaka mwisho wa dunia.Hiyo picha imebeba uhalisi wa mgogoro unaoendelea kati ya Qatar na Saudi,japo huwa nashindwa kuelewa kabisa kwanini hizo nchi zinashindwa kuling'amua hilo????!!!!!.
Usijumuishe waarabu wote,mbona yupo Oman,ni nchi ambayo haiendeshwi wala kufuata msimamo wa nchi yoyote.Hakuna mgigoro wala vurugu.Mfalme wa Oman,toka yupo mzima wa Afya mpaka sasa anaunwa,nchi iko vizuri tu.Waarabu hawana akili kazi yao kubwa ni kustarehe na wanawake Mambo ya Siasa hawajuwi ndio maana wanapenda kumsikiliza bwana wao mkubwa M-Marekani.Waarabu Wataendeshwa na Marekani na nchi za Ulaya Magharibi mpaka mwisho wa dunia.