Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Nimwezi mmoja Tangu nitoke mkoani kuja hapa Dar es Salaam kwa njia ya basi. Safari ilikuwa ndefu sana ila tulipo fika Maeneo flani ya mkata kuna watu ambao kwa asilimia kubwa nilihisi ni wahalifu kwasababu ya muonekano wao na sms alizokuwa anatuma na simu walizokuwa wanapiga.
Kwa kweli mimi ni muoga sana hasa baada ya mauwaji garissa sasa nilivyoona wallpaper ya simu ina picha osama bin laden ikabidi nikaze macho kijanja kujua anaandika nini nikagungua kuna plan walikuwa waanafanya lakini ikashindikana. Nia yao moja ilikuwa ni kukutana chalinze lakini gari likapitia bagamoyo na kufanya wale kurudi wakutafuta malazi msikitini cause bosi wao ndio alikuwa kwenye gari na alikuwa hana mpesa ya kutuma pesa kwa wakati huo.
Nimeunganisha haya matukio cause nimesikia mauaji ya mwenyekiti wa kijiji huko Tanga hapahapa jamiiforum nikasema hapana hebu ngoja niandike hapa labda wasiwasi wangu ni wa ukweli .
Wahusika Muangalie vizuri hii mikoa labda lisemwalo lipo maana hali ni ngumu ya maisha watu wanatafuta pesa kwa kila namna.
Kwa kweli mimi ni muoga sana hasa baada ya mauwaji garissa sasa nilivyoona wallpaper ya simu ina picha osama bin laden ikabidi nikaze macho kijanja kujua anaandika nini nikagungua kuna plan walikuwa waanafanya lakini ikashindikana. Nia yao moja ilikuwa ni kukutana chalinze lakini gari likapitia bagamoyo na kufanya wale kurudi wakutafuta malazi msikitini cause bosi wao ndio alikuwa kwenye gari na alikuwa hana mpesa ya kutuma pesa kwa wakati huo.
Nimeunganisha haya matukio cause nimesikia mauaji ya mwenyekiti wa kijiji huko Tanga hapahapa jamiiforum nikasema hapana hebu ngoja niandike hapa labda wasiwasi wangu ni wa ukweli .
Wahusika Muangalie vizuri hii mikoa labda lisemwalo lipo maana hali ni ngumu ya maisha watu wanatafuta pesa kwa kila namna.