hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,625
- 63,101
Hahaa Dr. .Abdul Katisha sanaView attachment 1121852
Stay strong Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa Dr. .Abdul Katisha sanaView attachment 1121852
Stay strong Mkuu
hatutoki ng'o! sie ndio tuliwakaribisha. toka lini mwenye nyumba akafukuzwa na mpangaji wake?
Bila shaka uko single kwa sasaHabari ya mchana....
Huyu kaka niko naye kwenye mahusiano kwa muda sasa niseme tu ameokoka anasali haya makanisa ya kiroho.Nilimpenda japo yeye hakunipenda kama alivyokua ananiaminisha.
Sasa bwana last week tulikua pamoja kwake.
Asubuhi alitoka,katika pitapita zangu nikakuta nguo za kike na viatu.
Mapigo ya moyo yalishtuka kidogo, baada ya kurudi nauliza vile vitu ni vya nani jibu nililopewa ...kiherehere changu kimeniponza kwanini niangalie vitu vyake bila ruhusa yake!?
Nilichoka na jibu nikaamua tu kuondoka....Wanaume mpendwe vipi jamani!?
Nilichogundua nilikua mpango kando pasipo mwenyewe kujua........
Si angeniambia tu tunasogeza siku... kinachoniuma hakuniambia ukweli nikampenda mzimamzima......
acha kuwa mzembe! tangazo linajieleza sogea pm umalize kazi. Hivi nyie hadi mfundishe mara ngapi mkuu😊?Njoo kwangu mama hutojutia
Hii mada inanikumbusha machungu sana wanaume kipite tu kimbunga kiwabebe tubaki peke yetu labda tutakuwa na amani
[/QUOTE😳😳
nendeni mkaishi marsHii mada inanikumbusha machungu sana wanaume kipite tu kimbunga kiwabebe tubaki peke yetu labda tutakuwa na amani
afanye maamziMkuu baada ya kujua?
Ndo tulivyoumbwaHiyo ndo kasumba yenu
Habari ya mchana....
Huyu kaka niko naye kwenye mahusiano kwa muda sasa niseme tu ameokoka anasali haya makanisa ya kiroho.Nilimpenda japo yeye hakunipenda kama alivyokua ananiaminisha.
Sasa bwana last week tulikua pamoja kwake.
Asubuhi alitoka,katika pitapita zangu nikakuta nguo za kike na viatu.
Mapigo ya moyo yalishtuka kidogo, baada ya kurudi nauliza vile vitu ni vya nani jibu nililopewa ...kiherehere changu kimeniponza kwanini niangalie vitu vyake bila ruhusa yake!?
Nilichoka na jibu nikaamua tu kuondoka....Wanaume mpendwe vipi jamani!?
Nilichogundua nilikua mpango kando pasipo mwenyewe kujua........
Si angeniambia tu tunasogeza siku... kinachoniuma hakuniambia ukweli nikampenda mzimamzima......
Ajaonewa bwana kagegedwa tuu....vitu vya kawaida hivyo kwani yeye papuchi alitakabikae tuustory yako iko biased, nasubiri upande wa pili tubalance kama ni kweli umeonewa
😂amegegedwa out of expectationsH
Ajaonewa bwana kagegedwa tuu....vitu vya kawaida hivyo kwani yeye papuchi alitakabikae tuu