Wanaume woooote ni ...........mdada usimwache laazizi wako kwa hili

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,281
7,126
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.

Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:

1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU

My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.

"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome"
by Bebii wa JF
 
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga, mtoto wa pili

Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:

1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU

My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.

Duuh, wewe kweli umekata tamaa! Inaonekana wapenziwako wote wamekuwa wakiku-cheat, pole sana!
 
"Every Man Wants To Try Sex With A Prostitute"
Around one in five New Zealand men has visited a prostitute at least once..............upo?
be blessed
ndio maana nakashauri usimwache mwenza kisa katembea njee
 
iii ishi we maria hata masheikh,padre na wachungaji nao wamo?....shauri yako!
 
Maria1047 na Bebii,ama kweli leo mmeamua kututengeneza.Hivi mlivyoamka leo asubuhi mlitanguliza mguu gani chini,maana......du!
mzee Aspirin uko wapi uwatie bakora hawa wajukuu zako?
 
ni kweli kabisa sijui wakoje
kwanza mie sikuhiz nikipishana nao nawaona wabayaaa hadi nguo zao mbaya
 
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga, mtoto wa pili

Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:

1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU

My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.
:poa
Dont call somebody a player just becoz he plays the game!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
naapa una tatizo

kweli nna tatizo, Mana nampenda wifi yako saaana!
Na namuheshimu, sababu ananiheshimu... Bado huamini tu kuwa kuna wanaume tuna real love? na kuna wanawake (tena wengi tu) ambao ni infidel to their lovers?
Huyo wako anaruka ruka sana nini maria?
 
Back
Top Bottom