Wanaume wenzangu tutafute hela

Money can buy only material things and not everything.
Seriously?


Embu vitaje maana Kama ni health bila pesa huduma ya afya utapata mbovu Kama ni love ukiwa broke hamtaishi kwa amani ndo mwanzo wa cheating

Mda au maana ukiwa na pesa una simply mambo ktk nyanja zote elimu,, afya, Ajira,, usafiri,,, na huduma mbalimbali za kijamii hutumii mda Kama maskini

Ni kipi hicho fedha hakinunui

Usiniambie kifo hiyo ni irrelevant
Maana hata maskini anakufa
 
"whoever said money can't buy everything was probably broke..

Ukihave enough cheddah, hata ukicheat ukiapologise inakua simple. Ukiwa caught red handed, msupuu ukimtuliza hata na ka iPhone 12 max tayari msala umeisha.

Wanaosema pesa sio mapenzi nakataa, hata ukweni ukiwa na pesa hata umdunde mkeo akirudi home ataambiwa mama vumilia tu Rudi kwa mumeo.

Jokes aside, money is eer thing
Uko sawa kabisa, na crying in a benz is better than kulia umekaa kwenye baiskeli ya avon
 
Utamnasa Kwa pesa zako atakaa nawe Kwa pesa zako utamfanya kila kitu Kwa pesa zako Ila Kama ukishindwa kumkojoza aisee atakusaliti pamoja na pesa zako kwaiyo tafuta pesa Ila usiache kuijali afya yako
 
Blue kashasema nibishe mim nani
Screenshot_20201225-133207.jpg
 
Health unainunuaje bila hela? Umewai jiuliza why marais ama wake zao wanaishi miaka mingi.. pia matajiri pia wanaishi miaka mingi kiwastani kuliko maskini? Happiness nayo bila pesa unainunuaje? Maskini gani ambaye ana hiyo happiness.. yaani ulale njaa ila uwe na happiness,
Kazi kweli kweli.
Sema nini mkuu kuna wale wazaramo wanaoishi uswahilini huwa nikiwachunguza huwa wana furaha wakati wote hali ya kuwa hata hawajui kesho watakula nini,na wakipata hela wanalipia maspika na kuweka sherehe kila weekend.
Cha ajabu mimi nina uhakika wa kuingiza mpunga kila mwisho wa mwezi lakini sina furaha kama wale niko na huzuni muda mwingi japo sidaiwi kodi ya nyumba,sidaiwi ada.
Hiyo unaongeleaje?
 
You just fooling yourself. Money can't buy love but pesa inanunua vitu vinavyotengeneza na kudumisha love. Nikimletea nguo nzuri mke wangu, tukatengeneza trip nzuri automatically itaongeza love Kati yetu. And those things needs money. Jamani umaskini haununui chochote.

Hapo kwenye health ndio naona hujui lolote umebaki kukariri tu misemo ya kimaskini. Niliwahi kupata tatizo la figo Mimi mwenyewe, nikaenda KCMC......(naishia hapa maana nadhani wewe bado una utoto).

Take your time, go to government hospitals, ingia ward za jumla mfano za wanaume, kaa dakika 10. Kisha toka hapo nenda ward za VIP fananisha mazingira na huduma. Kisha toka nenda private hospitals Kama Agha Khan. Usipojifunza nguvu ya pesa basi tena.

Of course pesa inanunua material things kama ulivyoeleza hapo nguo, magari and trips za hapa na pale, automatically huyo Bibie amekuwa fooled with those things, if you go broke hawezi kuendelea kuwa na wewe maana hana upendo na wewe.
Upo upendo wa kweli ambao pesa wala material things hauwezi kununua, tulikuwa masikini pamoja, tukapata pamoja, tukifulia tunafulia pamoja, huo ndio upendo wa kweli.

Tukija kwenye Health napo mambo ni yale yale, hela yako itakupatia huduma bora of course lakini haikupi guarantee utavuka stage hiyo kwenda nyingine, nimeshuhudia mikasa mingi watu na pesa zao wamelala kitandani wasiweze kuokoa nafsi na miili yao, Ruge hakuwa na pesa? Mkapa je? Patel je?
Hujiulizi watu wa zamani wali survive vipi ingawaje kulikuwa hakuna Hospitals na madawa ya kila namna?

Pesa kwa upande si kila kitu.
By the way, nina utoto mwingi sana, I’m 15 years old nangoja shule zifunguliwe.
 
Back
Top Bottom