Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
Mhhhh huyu mama kila siku namuonaga kama ana stress so anaziamishia kwa watanzania.Nipo poa wangu!!
Kiria ametujia juu anataka tuwahudumie mahawara zetu, tusipowapa pesa mtagongwa sana nje.
Kifupi ni hayo tu Honey Faith.