The way la sivyo kubali kuwa tapeli was mapenziBaking njia kuu utaepusha yote hayo
Hakuna kuwakwepa tena mwezi huu ndiyo wa kuwatafuna vizuri.Naomba kuwasilisha wana jamv wenzangu
Wanaume wenzangu naomba tupeane njia za kukwep haya mabomu tunayoanza pigwa msimu huu
Jafariji tuThere is only one way, mtafuta mwenyewe kwanza na umtumie au umpe hela ambayo utaona haitakuuma umpe,mfano labda elfu 10 au 20 au 50k it depend na uwezo wako wa kumpa,then baada ya kumpa mwambie huu mwez umepata loss/unatarajia loss au kuna hela fulani nadaiwa natakiwa kupambana sana usiku na mchana ili niipate mfano kodi,au deni au michango n.k
Kwa kufanya hivyo unamuandaa kisaikolojia ili asikudai nzawadi za msimu huu wala kukuomba hela,hapo anajisemea yaani jamaa anaonekana ana shida ya hela lakini bado kanipa elf 20(mfano) ngoja kwanza nimuache ache mpka mwez wa pili 😂😂😂
Naona hata kuandika unashindwa 😂😂😂Jafariji tu
Jaman hata sikuona nisamehe, nasema jifariji tu ila mabomu yapo tuNaona hata kuandika unashindwa 😂😂😂