Wanaume wenzangu mnaotumia Facebook na mitandao mingine mjitambue

GANG MO

JF-Expert Member
Dec 6, 2016
2,087
2,193
Mambo vipi wadau wa JF.

Mimi sio mtumiaji wa FB but juzi kati nikafanya research ndogo tu. Nikatengeneza account FB na kuipa jina la kiume. Ndani ya masaa 24 sikupata friend request hata moja wala SMS.

Nikaunda account nyingine nikaipa jina la kike na kuweka picha nzuri. Huwezi amini ndani ya masaa mawili nilipata request 200. Nikafanya kuzikubari zote. Baaada ya saa moja nikapata sms 50 wakiomba namba na wengine kuuliza kama nina mchumba. Leo ni ck ya tatu tayar account imefikisha friends zaid ya 1000 na weng wao ni male.

Hivi wanaume tunatatizo gani? Au ni pepo la ngono linatutesa.

Mwanaume wa sasa amekuwa mgumu kutuma request kwa mwanaume mwenzake anahangaika kutuma kwa mwanamke ambaye hata hamjui.

Wanaume wengi hutapeliwa kwa njia hii. Anazani anawasiliana na mwanamke kumbe ni mwanaume mwenzake.

Tubadirike jamani. Chati na washikaji unaweza pata connection sio kufikili mapenzi muda wote.

Nawasilisha
 
Weka matokeo ya research yako hapa kwa kuonyesha hiyo acount ya me na ke na hiyo ya ke ukiombwa namba vinginevyo hii ni chai kabisa. Alafu mwanaume unaanzaje kufungua acount ya kike? Hiyo tafiti mwsho wake ni nini? Kuwa makini
 
hapo ndio ujue wanaume wengi mitandaoni hutongoza wenzao. Unawza ona ni research ya hovyo lakin tambua wengi wanaibiwa wanapoteza muda mitandao kwa kuchat na wanawake
Wewe si bure hivi ulijsikiaje kutongozwa na mwanaume mwenzio mambo mengine muwe mnaacha research ya hovyo kabisa


COVID-19

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo vipi wadau wa JF.

Mimi sio mtumiaji wa FB but juzi kati nikafanya research ndogo tu. Nikatengeneza account FB na kuipa jina la kiume. Ndani ya masaa 24 sikupata friend request hata moja wala SMS.

Nikaunda account nyingine nikaipa jina la kike na kuweka picha nzuri. Huwezi amini ndani ya masaa mawili nilipata request 200. Nikafanya kuzikubari zote. Baaada ya saa moja nikapata sms 50 wakiomba namba na wengine kuuliza kama nina mchumba. Leo ni ck ya tatu tayar account imefikisha friends zaid ya 1000 na weng wao ni male.

Hivi wanaume tunatatizo gani? Au ni pepo la ngono linatutesa.

Mwanaume wa sasa amekuwa mgumu kutuma request kwa mwanaume mwenzake anahangaika kutuma kwa mwanamke ambaye hata hamjui.

Wanaume wengi hutapeliwa kwa njia hii. Anazani anawasiliana na mwanamke kumbe ni mwanaume mwenzake.

Tubadirike jamani. Chati na washikaji unaweza pata connection sio kufikili mapenzi muda wote.

Nawasilisha
haya mambo ya tafiti tuyaache watanzania yatatupeleka kubaya,tumetoka kwenye mapapai na mafenesi sasa tumekuja na mitandaoni ,mkuu tabu yote hiyo ya nini ? unaona sasa madhara yake umetongozwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom