MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,277
- 3,298
Acha unoko mkuu!, tatizo wabongo wengi hampendi kuambiwa ukweliMaxence Melo Modern programmer Invisible Moderator
Nadhani huu ni aina ya nyuzi zinazotakiwa kufutwa. Thread kama hii mnaiachiaje wakati kuna thread zingine mnazifuta bila hatia?
Huu sio uzi, ni ushauri wa kijinga na kuna vijana wanaweza kuutumia na kupata madhara.