kila mtu ana utashi wake analyst.nadhani inategemea na mtazama,na pia ina influence kubwa from mazingira mtu aliyokulia. niku-challenge kitu: mkeo/gf wako ana tofauti sana kimaumbile/kimtazamo na mama yako au dada zako? wakati mwingine anaweza kuwa amefanana sana hata na ex wako,lol! kuna mkaka ambae bila semi-trailer hajavutiwa. same as kuna mdada ambae bila kifriji (sio extreme) hajapata mvuto. kuridhika sio issue ya sarakasi tu,inaanzia kwenye nafsi!
Nimesikia kutoka kwa wanawake kadhaa kwa nyakati tofauti wakisema vitambi kwa wanaume vinacompromise na ufanisi wao wa kufanya mapenzi. Sijui ndugu zangu mnasemaje, kama ndivyo basi tujitahidi kuvimomonyoa, na kuzuia visitokee!!
kila mtu ana utashi wake analyst.nadhani inategemea na mtazama,na pia ina influence kubwa from mazingira mtu aliyokulia. niku-challenge kitu: mkeo/gf wako ana tofauti sana kimaumbile/kimtazamo na mama yako au dada zako? wakati mwingine anaweza kuwa amefanana sana hata na ex wako,lol! kuna mkaka ambae bila semi-trailer hajavutiwa. same as kuna mdada ambae bila kifriji (sio extreme) hajapata mvuto. kuridhika sio issue ya sarakasi tu,inaanzia kwenye nafsi!
Ni kweli, na wala sikatai moja kwamoja!Kitambi kikubwa kina madhara yake kwenye ufanisi,
lakini sio kwa wote, sababu kubwa ni uvivu tu..........
unajua Analysti, dada zetu wengi walishadanganyika sana na hili.........
Anamparamia mwanaume, huku akitengeneza majibu kuwa hapa ni kuteleza tu.....
Kisa kaona kitambi, kwahiyo ana uhakika gwaride halitakuwa la kufa mtu....
Hii tafsiri imewatokea puani dada zetu wengi tu.................kwani walichokuja kukikuta huko ni balaaa..................
Please, ''dont judge a book by its cover''