Wanaume wenye papara huwa hawafanikiwi

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,311
7,494
Unakutana na mwanaume kwa mara ya kwanza,ghafla anaandaa mazingira ya kutaka umpe nyapu

Yaani yeye akishakutongoza na kumkubalia target yake ni kukuandalia mazingira ya kukula

Mara akuombe uende kwake ukiwa mwenyewe,mara aje kwako ang'ang'anie,mara akucheleweshe mkiwa out ili usiku uingie mlale hotel pamoja na hapo mahusiano yenu yana wiki mbili

Yaani wanaume wenye staili hiyo mtabaki kulalama,vumilia utakula tunda mpaka uchoke,sisi tunakuwa huru baada ya kuzoeana,nikishakuzoea ndo ntakupa uchi wangu bila shida

Lakini mitego yenu ya kishenzi,mtaambulia wasiojielewa lakini wanawake wenye timamu sio rahisi

Wanaume acheni papara kwenye mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakutana na mwanaume kwa mara ya kwanza,ghafla anaandaa mazingira ya kutaka umpe nyapu

Yaani yeye akishakutongoza na kumkubalia target yake ni kukuandalia mazingira ya kukula

Mara akuombe uende kwake ukiwa mwenyewe,mara aje kwako ang'ang'anie,mara akucheleweshe mkiwa out ili usiku uingie mlale hotel pamoja na hapo mahusiano yenu yana wiki mbili

Yaani wanaume wenye staili hiyo mtabaki kulalama,vumilia utakula tunda mpaka uchoke,sisi tunakuwa huru baada ya kuzoeana,nikishakuzoea ndo ntakupa uchi wangu bila shida

Lakini mitego yenu ya kishenzi,mtaambulia wasiojielewa lakini wanawake wenye timamu sio rahisi

Wanaume acheni papara kwenye mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kwangu sina papara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake acheni papara kwenye hela, yaani mtu tumejua hata siku3 hazijaisha, eti unaanza vibomu hivi mnazani kipimo cha kugundua kama mtu anakupenda ni kuendekeza vibomu vyenu?

kwa hali hii mtaishia kupata wanunuaji tu, kama mngekuwa wavumilivu basi hata sisi wanaume tungekuwa wavumilivu kwenu.

Yaani siku mbili nmataka hela, tuzoeane kwanza, hela utazipata hadi utazikimbia kiukweli..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake acheni papara kwenye hela, yaani mtu tumejua hata siku3 hazijaisha, eti unaanza vibomu hivi mnazani kipimo cha kugundua kama mtu anakupenda ni kuendekeza vibomu vyenu?

kwa hali hii mtaishia kupata wanunuaji tu, kama mngekuwa wavumilivu basi hata sisi wanaume tungekuwa wavumilivu kwenu.

Yaani siku mbili nmataka hela, tuzoeane kwanza, hela utazipata hadi utazikimbia kiukweli..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine huwa mnatoa wenyewe bila kuonbwa,ili kuonyesha ufahari fulani kuwa unajali,kwa nini tusipokee? Wengine hatuombi nyie wenyewe mnatoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake acheni papara kwenye hela, yaani mtu tumejua hata siku3 hazijaisha, eti unaanza vibomu hivi mnazani kipimo cha kugundua kama mtu anakupenda ni kuendekeza vibomu vyenu?

kwa hali hii mtaishia kupata wanunuaji tu, kama mngekuwa wavumilivu basi hata sisi wanaume tungekuwa wavumilivu kwenu.

Yaani siku mbili nmataka hela, tuzoeane kwanza, hela utazipata hadi utazikimbia kiukweli..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kufananisha pesa na mambo ya kipuuzi.
 
Rafiki kumbe chura ipo!
1549736274458.jpeg
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom