Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
- Thread starter
- #81
Wanapatikana peponi tugHivi hao wanaume wenye mapenzi ya dhati wanapatikana wapi nami nikajipatie mmoja
Wanapatikana peponi tugHivi hao wanaume wenye mapenzi ya dhati wanapatikana wapi nami nikajipatie mmoja
Hongera. Ila utampata wa kuendana naweMm ni mmoja wa hao wanaume wenye mapenz hayo,. Japo madem wengi ninaokutana nao wamekuwa wakichukilia kama advantage ya kupata pesa, na huwa nashtuka haraka, baada ya hapo ni kibuti.
Ila i wont quit to be gentlemen,coz that who i am. If a lady want to be with me,she can follow my rules,ill make her my queen , my everyrthing,nitimiza majuku yote. Lakin akizingua sina msamaha kabisa. I got no time for games
Kweli kabisa maana sijawahi kuwaona katika dunia hiiWanapatikana peponi tug
Hayo ndio mapenzi ya dhati na pia jamaa hapo anajua kabisa ni yeye peke yake mawazo ya kuwa mwanamke atachepuka hayapo tena
Hahahaah! Basi usimwache wifi yangu albino hata kama mkorofi ili kuonesha mapenzi ya dhatiNajua.nlikuwa nakoroga mada tu
Alipata ajali baada ya mda mchache baada ya kuanza kudateKwa nini amemuoa baada ya ulemavu na sio kabla?
Nitajitahidi kuongeza uvumilivu mkuu,kwa heshima yako.Hahahaah! Basi usimwache wifi yangu albino hata kama mkorofi ili kuonesha mapenzi ya dhati
Shukrani sana,Mungu akuzidishie!Nitajitahidi kuongeza uvumilivu mkuu,kwa heshima yako.
Ameoa kwa huruma,I can bet on that,sidhani kama angeoa mapema baada ya kudate asingepata ulemavuAlipata ajali baada ya mda mchache baada ya kuanza kudate
Dah..basi mororoNdio kwani papuchi haipo??
ama hakika mapenzi ya dhati bado yapo.Alikuwa mzima na walikuwa kwenye mapenzi. Na Baadae akapata ajali,hawezi kusimama tena...
Hahaaaaaa wewe accountant nini ?Itakuwa alikuwa hampigi vizinga.
Wanaume wamejanjaruka sana,wakikuona wewe ni liability hata ukiwa na hips pana kama bahari ya Hindi,anajiongeza.
Itakuwa alikuwa hampigi vizinga.
Wanaume wamejanjaruka sana,wakikuona wewe ni liability hata ukiwa na hips pana kama bahari ya Hindi,anajiongeza.
AkA. Mahabati
Umejuaje?Itakuwa alikuwa hampigi vizinga.
Wanaume wamejanjaruka sana,wakikuona wewe ni liability hata ukiwa na hips pana kama bahari ya Hindi,anajiongeza.
Hakuna style ya kufanya pasipo kukata mauno?Hata kiubavuubavu?Ukiumia mgongo vyote haviwezekani tena hafanyi chochote huyo
Kauli yako inanipa wazo la kukupa offer ya Savannah!Itakuwa alikuwa hampigi vizinga.
Wanaume wamejanjaruka sana,wakikuona wewe ni liability hata ukiwa na hips pana kama bahari ya Hindi,anajiongeza.