Ndio kama mleta thread alivyosema kuwa mtu anafanya mazoea ya ghafla tu na mtu!daa huyo mwamba alizingua au na wewe aukuwa user friend ha ha ha
Ndio kama mleta thread alivyosema kuwa mtu anafanya mazoea ya ghafla tu na mtu!daa huyo mwamba alizingua au na wewe aukuwa user friend ha ha ha
Muhindi si JF mmeniambia kuwa wanapenda "kiboga" simtaki tena. hahahahahahahahahahaah
ha ha wewe miyeyusho kweli mshikaji wangu nakwede
halafu nyie wapare nina bahati nao sana sijawahi date mwanamke tofauti na mpare daa noma kwelii
heeeeeeeeeee!halafu nyie wapare nina bahati nao sana sijawahi date mwanamke tofauti na mpare daa noma kwelii
shukrani mkuu si unajua sisi wasabato tunaoana watu wa msoma na wapare ahsante shemejiiheeeeeeeeeee!
Sifa ya wapare kwenye ndoa ni UVUMILIVU, ni mara chache kuona mpare "amevunja mji" sisi wanawake kipare ni wavumilivu hadi kero. Pia wengi wetu tunapenda mambo ya maendeleo kwenye familia
Karibu sana upareni mkuu. wewe sasa ni ndugu yetu
Tena na guess huyo mchumba/mkeo atakuwa ni wa SUJI au MAMBA MYAMBAshukrani mkuu si unajua sisi wasabato tunaoana watu wa msoma na wapare ahsante shemejii
duuu mule mule suji aisee kitu mbwambo ila mabinti wakipale wako very lovelyTena na guess huyo mchumba/mkeo atakuwa ni wa SUJI au MAMBA MYAMBA
Umesema kweli. Wapare tunajua kupenda, kujali, kuheshimu na ni waaminifu.duuu mule mule suji aisee kitu mbwambo ila mabinti wakipale wako very lovely
ila mna weakness moja nitakuambia next timeUmesema kweli. Wapare tunajua kupenda, kujali, kuheshimu na ni waaminifu.
Niambie tu hata PM ili tujirekebisheila mna weakness moja nitakuambia next time
punguza wivuNimeongelea maisha ya uhalisia ya huku duniani mkuu.!!