interegenciadick
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 700
- 1,089
#kiukweli Muda mwingine wanawake ndo chanzo ,
Mwanmke akiwa serious hakuna mwanaume wa kuleta mazoea ovyo.
Mwanmke akiwa serious hakuna mwanaume wa kuleta mazoea ovyo.
Asante mkuu...naona yanasemwa maneno mazito mazito tu.Haha..
Pole mkuu Daby..!!
We vp umerogwa au mwanaume aweje cha ote. Nyie wanawake ndo mnakuwaga cha wote. Ni vyema funguo moja ikifungua kufuli zaidi ya moja kuliko kufuli moja kufunguliwa na funguo tofaut. Hapo upo?Mnaboa hakyamama, mwanaume unakuwaje cha wote??
Fala wew malaya wew tu sema tena huyo boi wako ndo uskute malaya kweli maana kuna wanaume ni silent killer siku hizi hatutumii simu kuna njia zingine zimekuja. Sasa huyo unaejiaminisha nae ndo malaya na ww mwenyewe utakuwa malayaWanaume wote malaya kasoro boyfriend wangu.
Kuanzia utolewe bikra km unae huyo huyo basi kweli si malaya lkn km sio yeye basi wew ni malaya na haina haja uvae nguo maana hizo sio sehem za siri tena vua nguo utembee uchi.Wanaume wote malaya kasoro boyfriend wangu.
Kuanzia utolewe bikra km unae huyo huyo basi kweli si malaya lkn km sio yeye basi wew ni malaya na haina haja uvae nguo maana hizo sio sehem za siri tena vua nguo utembee uchi.
Fala wew malaya wew tu sema tena huyo boi wako ndo uskute malaya kweli maana kuna wanaume ni silent killer siku hizi hatutumii simu kuna njia zingine zimekuja. Sasa huyo unaejiaminisha nae ndo malaya na ww mwenyewe utakuwa malaya
daa huyo mwamba alizingua au na wewe aukuwa user friend ha ha haHuu uzi umenikumbusha "mpuuzi" fulani hivi siku hiyo nimekaa naye mahala tunakula pombe, ukapigwa mziki wa Diamond ule "inama inama", ghafla akasimama, baa medi alikuwa anapita si akaanza kumshikilia eti wacheze!
Mie kuhoji najibiwa eti "si ulikuwa mziki tu..."
🤣🤣🤣 Lakini si mziki tu.Huu uzi umenikumbusha "mpuuzi" fulani hivi siku hiyo nimekaa naye mahala tunakula pombe, ukapigwa mziki wa Diamond ule "inama inama", ghafla akasimama, baa medi alikuwa anapita si akaanza kumshikilia eti wacheze!
Mie kuhoji najibiwa eti "si ulikuwa mziki tu..."
Muhindi si JF mmeniambia kuwa wanapenda "kiboga" simtaki tena. hahahahahahahahahahaah🤣🤣🤣 Lakini si mziki tu.
Au ndio yule muhindi sijui mwarabu.