Wanaume wengi wanaotafuta wachumba humu ni balaa...!!

obviously kwenye msafara wa mamba hata kenge pia wanakuwepo. kifupi ni kwamba kuna makundi mawili ya watu hapa, moja ni la walioko serious ( ambao ni wachache) na wale walioko kingono zaidi ( hawa ni wengi sana) cha msingi hapa ni akili kichwani mwako meet nao then utagundua yupi ni Mr Right wako and yupi ni mbabaishaji.
 
Hello JF members..!

Nimetumia ID tofauti makusudi ili kutoa tahadhari kwa wadada wenzangu wanao respond kwenye posts za baadhi ya wanaume wanaotafuta wenzi humu Love connect!

Nimerespond kwa post kama 4 tofauti tofauti za wanaume wanaotangaza wanatafuta wachumba humu, yaani ni waongo na lengo lao kubwa wanataka tuu sex..! Hawako serious kabisa na kwa hii tabia wanaharibu maana ya hili jukwaa kwani kuna baadhi yetu tuko serious..!


  • Kitu kinachoshtua ni kwamba ukirespond tuu kwa PM hapo hapo anaanza kukuita My love, honey, darling wakati hata hajakuona na hajui kama akisha kuona mtamatch..!


  • Ikitokea umeonana nae, anakuwa hana la kuzungumza la maana zaidi ya lini sasa tutafanya sex??

Ndio uchumba unaanza hivyo kweli?? Wanaume wenye tabia hii jirekebisheni..!

Kwani siku hizi kuna kuoana basi? jus chakachuas zen mambo mengine yatatokana na kunogewa au kuendana kitabia na mwenendo ndo ndoa yaweza kuja, lakini habari ya kuoana direct ilikuwa zamani enzi za wanawake ma bikra na wanaume waseja.
 
Honestly, sijawahi maana mwanzoni tuu wanakuwa wameshaonyesha nia yako ni kuchakachua tuu na kusepa..! Hivyo ni rahisi kuwasoma mwanzoni..!

Hujakutana na wazoefu wa kufeki ambao wanakuja mpaka kutoa posa lengo amege tu.
 
Hujakutana na wazoefu wa kufeki ambao wanakuja mpaka kutoa posa lengo amege tu.

Hao nimeshakutana nao katika maisha ya kawaida... Ndio maana nikadhani humu kuna ambao wako serious kumbe si lolote.. Hii dunia ni balaa!
 
Kwani siku hizi kuna kuoana basi? jus chakachuas zen mambo mengine yatatokana na kunogewa au kuendana kitabia na mwenendo ndo ndoa yaweza kuja, lakini habari ya kuoana direct ilikuwa zamani enzi za wanawake ma bikra na wanaume waseja.

Hilo nalo neno ndugu yangu..!
 
Baadae naenda kwenye sendoff ya mdogo wa rafiki yangu
gud enough kuwa wamekutana hapa jamvini wameendana mwanaume alikuwa serious na mwanamke pia
mpaka wamefikia stage hiyo
all i can say inategemea japo wakweli ni asilimia chache sana
subiri nipige mzigo kisha niende
na mwanaume alisharudi humu kutoa shukrani jf imempatia mke
ha ha labda kesho nitamuona invisible au fang live maana
so dia mleta mada usikate moyo utampata tu
 
ametuharibia ambao hatujapata wachumba bado, mimi ni mw'ume ni mp tu. wendie hapana nataka mwingine au lateni, wendie hutafaa umesumbuliwa, utanisumbua,stak anaejistukia, wala sitamuomba sex, angalizo.. asiwe ananiomb pesa
 
KAMA ni kweli ulifanya hivyo,basi u got a serious problem,yaani ukam time,ukawa unamchora-u had time to do all this na ugreat thinker wako wote-u must be leading a really sad empty life-i refuse to believe this story but kama ni kweli u need counselling big time

Sad empty life? Hahahaha! Try me....

BTW do you know the best counselor in town?

Na FYI am not a great thinker kama wewe mkuu, am just a Chit Chatter! Happy?
 
Kwani nini cha mno! wanaotafuta na wanaorespond at times wote wanakuwepo palepale mtaa wa Ohio, wakiwa wanatoka makaburi ya kinondoni kuzini. Te vantu te vadamsu ha!
 
Mie nipo serious niambie nifanyeje sasa ili nikuone! sitaki kukuita darl, my sweet au sijui nini! cha msingi nipe mawasiliano yako ya kweli.

Ahahahaaaaaaa, duh JF haiboi hata siku moja!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Yaah you are right to aware those ladies who finding husbnands,lakini haina maana kama kila mwanaume wanamwignoo kuna kama sisi we are serious with it and when a time approach to me nitatangaza kutafuta mke.kuwa makini madada na hukers.
 
Duuh hii ni hatari, yani ndio nilikua namalizia kuandika uzi wangu wa kutafuta mume hapa jukwaani, inabidi nisitishe , nijipange kivingine.

Weka uzi wako,cha muhimu now you can tell who real and whos not!
 
Hahahahaha!

Kuna mzembe mmoja nlimuibukia na ID ya jina la kike. Lilitongoza mpaka nikakoma!

Nikalipangia appointment lije baa ya jirani. Likaja kweli asee. Acha tulichore na washkaji zangu! Limeganda pale mpaka saa tano usiku zembe likasubiri daladala likakosa likapotea na tuktuk....

Usisahau kwenye PM lilishajibaraguza linamiliki Vogue na nyumba Mbezi beach! Manina zangu babu yenu mimi

Chezeya JF wewe?

tehe tehe tehe JF ni fun kwakweli heee
 
Baadae naenda kwenye sendoff ya mdogo wa rafiki yangu
gud enough kuwa wamekutana hapa jamvini wameendana mwanaume alikuwa serious na mwanamke pia
mpaka wamefikia stage hiyo
all i can say inategemea japo wakweli ni asilimia chache sana
subiri nipige mzigo kisha niende
na mwanaume alisharudi humu kutoa shukrani jf imempatia mke
ha ha labda kesho nitamuona invisible au fang live maana
so dia mleta mada usikate moyo utampata tu

Nashukuru sana ndugu yangu..!
 
ametuharibia ambao hatujapata wachumba bado, mimi ni mw'ume ni mp tu. wendie hapana nataka mwingine au lateni, wendie hutafaa umesumbuliwa, utanisumbua,stak anaejistukia, wala sitamuomba sex, angalizo.. asiwe ananiomb pesa

Ha ha ha ha!!!
 
du yaani ni kweli twatakiwa kuwa makini haswa yaani hunijui mtu darling, hun sijui baby wewe u serious?:A S angry::A S angry:
 
Back
Top Bottom