Wanaume wengi hawanawi sehemu nyeti baada ya haja ndogo

Hii habari haiwahusu waislamu.

Wametangulia zamani kwenye ustaarabu na kinga za kiafya.Wengine ndio kwanza mnaona hapa.Kwa siku tunaswali mara tano na kabla ya swala kwanza uhakikishe tohara yako.Usiwe na najisi yoyote.

Mkojo ndio moja kati ya najisi. Ukija msikitini utakuta vyoo vya kutosha ili kila mtu anayejihisi na mkojo aende kujisaidia.Si heshima kumgongea aliyeko ndani ili atoke. Hii ni kuhakikisha anajikamua vizuri asibakishe chembe chembe zikaingia kwenye nguo zake.
 
Wazungu ndio hupenda sana hivyo.Wapenzi wao siku zote ni yale mateja ambayo hata kuoga wanapitisha wiki.
Ami sehemu ambazo kuna jamii ya wafugaji hasa wamasai nani anaoga kila siku?Hawa nao wapo katika kundi hili na wakiwa katika tendo wanafurahia kama kawaida,kila mtu anacho akipendacho maana wengine kuzama chumvini kwao ni uchafu wakati wengine ndio raha na sehemu safi kwao.
 
Ya'll know me still the same ol' G
But I been low key
Hated on by most these niggas
With no cheese, no deals and no G's, no
wheels and no keys
No boats, no snowmobiles and no ski's
Mad at me cause
I can finally afford to provide my family
with groceries
Got a crib with a studio and it's all full of
tracks
To add to the wall full of plaques
Hangin up in the office in back of my
house like trophies
But ya'll think I'm gonna let my dough
freeze
Ho Please
You better bow down on both knees
Who you think taught you to smoke
trees
Who you think brought you the o' G's
Eazy-E's Ice Cube's and D.O.C's and
Snoop D O double G's
And a group that said mutha**** the
police
Gave you a tape full of dope beats
To bump when stroll through in your
hood
And when your album sales wasn't doin
too good
Who's the doc that he told you to go see
Ya'll better listen up closely
All you niggas that said that I turned pop
Or the Firm flop
ya'll are the reason Dre ain't been
getting no sleep
So **** ya'll all of ya'll
If ya'll don't like me blow me
Ya'll are gonna keep ****in around with
me
And turn me back to the old me
 
Wengi wanamaliza haja ndogo tu na kuvaa bila hata kunawa upesi upesi kama wanakimbizwa matokeo yake nguo za ndani zinabaki na mikojo then kuleta harufu za ajabu ajabu mtu ni afya mnawe mara baada ya haja ndogo osheni maeneo yenu kama kina dada wanavyofanya wanawake wengi wanavumilia harufu wakati wa BJ na hata wakati wa faragha wanatamani hata wakimbie inshort inawakata stimu balaa na hii huchangia wengi kuibiwa kwa kuwalaghai kuwa mmewafikisha kileleni maana hakuna hisia tena harufu inaboa inatosha sasa kuwatesa na harufu kali hizo bora mtumie vyoo kamili ili muweze kusitiri aibu hii na kuacha upesi mkikimbiwa msilaumu kuweni wasafi maeneo nyeti.
Wewe unaumwa nini, unafikiri UUME ni sawa na UKE , mwanaume anapokojoa hakuna namna mkojo utagusa sehemu yeyote ya nje ya uume, sasa Wewe unataka anawe nini?, kamwangalie basha wako anapokojoa ili ujifunze.
 
Wengi wanamaliza haja ndogo tu na kuvaa bila hata kunawa upesi upesi kama wanakimbizwa matokeo yake nguo za ndani zinabaki na mikojo then kuleta harufu za ajabu ajabu mtu ni afya mnawe mara baada ya haja ndogo osheni maeneo yenu kama kina dada wanavyofanya wanawake wengi wanavumilia harufu wakati wa BJ na hata wakati wa faragha wanatamani hata wakimbie inshort inawakata stimu balaa na hii huchangia wengi kuibiwa kwa kuwalaghai kuwa mmewafikisha kileleni maana hakuna hisia tena harufu inaboa inatosha sasa kuwatesa na harufu kali hizo bora mtumie vyoo kamili ili muweze kusitiri aibu hii na kuacha upesi mkikimbiwa msilaumu kuweni wasafi maeneo nyeti.

Mie naona wewe mwana dada umekosea sana hiyo statment yako ifanye opposite,watu wenye matatizo makubwa ni nyie wakina dada kwa sababu ya maumbile yenu yenye mikunjo mingi na ambayo inauwezo wa kuficha,kusambaza na kubakisha mikojo ndani huko,nyie ndio mnahitaji usafi wa hali ya juu mkikojoa lazima muoshe sana hiyo dudu ama sivyo itakua balaa tena kubwa.kwa sisi ukisharusha mkojo ukamaliza ukaikunguta vizuri deal limeisha sasa nyie mtakunguta nini lazima muoshe tena sana.Halafu usifikiri kama huyo mjamaa wako anatema ni kila mwanaume ndio yuko hivyo jaribu kujaribu na wanaume wengine sio lazima umnganganie huyo mmoja tu wa mkojo tafuta mwingine at last utamppata bitoz mwenzako unayemtaka
 
Wewe unaumwa nini, unafikiri UUME ni sawa na UKE , mwanaume anapokojoa hakuna namna mkojo utagusa sehemu yeyote ya nje ya uume, sasa Wewe unataka anawe nini?, kamwangalie basha wako anapokojoa ili ujifunze.

we ndo unatakiwa kulazwa mwaisela eti hakuna mwanaume mkojo utamguj?!you are kidding guy.kwanza mmezoea kurudia chupi me nilimpiga jamaa chini kwa ajili ya mikojo nilishika chupi kunusa karibu nitabike hlf mtu anakwambiaa ushike mick mmezidi
 
Sijawahi kusikia mwanaume ananuka mkojo eti kwa kuwa hanawi akikojoa. Kama kweli jambo hilo lingekuwa uchafu basi ungeona wanaume wengi wanaugua UTI n.k.

Mwanzisha mada mwambie mpenzi wako anunue chupi ya pili (mbili angalau) na usimtumie yeye kama kioo cha kuitazama jamii. Chupi itoayo harufu (ya mwanaume) ni ile inayovaliwa zaidi ya siku mbili na hata jasho tu linatosha kuifanya inuke.

Kwa nyie mliokimbilia kusema sisi wa dini fulani ........ naomba niwakumbushe kuwa, hata sisi tusio wa dini hiyo tunahakikisha hatuweki dushelele na mkojo kwani tunaikung'uta ipasavyo.

Kwangu mimi, nikiwa na akili zangu timamu, siwezi kuokota jiwe ardhini nikajifutia uume wangu kwani hilo jiwe lenyewe ni chafu. Nimeona mtu pale machinga complex anaokota jiwe na kuingia nalo chooni, nikajiuliza ana hakika gani jiwe lile halijatumika kwa shughuli kama ile tayari?

Tutumie akili jamani, sio kukopi na kupaste.
 
we ndo unatakiwa kulazwa mwaisela eti hakuna mwanaume mkojo utamguj?!you are kidding guy.kwanza mmezoea kurudia chupi me nilimpiga jamaa chini kwa ajili ya mikojo nilishika chupi kunusa karibu nitabike hlf mtu anakwambiaa ushike mick mmezidi

Mnawatoa wapi hao wanaume wanaojikojolea? Kama mwanaume wako ni mchafu ndio ushike bango. Kitu hasa kinachonuka kisipooshwa mnakijua, ila mnakazana na kisichonuka. Wafundisheni hao walimwengu mnaookotana nao mabarabarani kufua chupi zao
 
tena kwa taarifa ni watu wamaana ambao ukimwangalia mara mbili unajiuliza is this true?barabarani?!hivi wapi wanatakiwa kukutana na kuanzisha uhusiano?
 
Hii habari haiwahusu waislamu.Wametangulia zamani kwenye ustaarabu na kinga za kiafya.Wengine ndio kwanza mnaona hapa.Kwa siku tunaswali mara tano na kabla ya swala kwanza uhakikishe tohara yako.Usiwe na najisi yoyote.
Mkojo ndio moja kati ya najisi.Ukija msikitini utakuta vyoo vya kutosha ili kila mtu anayejihisi na mkojo aende kujisaidia.Si heshima kumgongea aliyeko ndani ili atoke.Hii ni kuhakikisha anajikamua vizuri asibakishe chembe chembe zikaingia kwenye nguo zake.

Still mnaongoza kwa kuugua UTI na FUNGUS. Acha nikwambie kijana toka Pemba. Unapoosha hicho kibamia chako na maji na ukawa huna taulo la kukausha hayo maji, basi ule unyevu unapopata joto la mwili unatengeneza uvundo ambao unaweza kuwa chanzo kizuri cha magonjwa na ndio maana mnaugua sana fungus

La pili, mnaambiana kwamba ikiwa maji hayapatikani mtumie jiwe au mchanga, this is absurd! Jiwe uliloliokota chini, tena nje ya choo una hakika gani na usafi wake? Wanapodeki chooni maji yakimwagika yanakuja kwenye jiwe lile, ama mwenzako naye alilitumia kujisafishia na kulitupa sasa na wewe...loh!

Usinchoshe buree, hebu 'niwache nipumuwe'
 
tena kwa taarifa ni watu wamaana ambao ukimwangalia mara mbili unajiuliza is this true?barabarani?!hivi wapi wanatakiwa kukutana na kuanzisha uhusiano?

Kwani wewe mama, mtu wa maana kwako tafsiri yake ni ipi? Maana yake iko wapi kama hajui kukojoa kwa usafi? Harufu huletwa na kukosekana usafi na sio kukojoa. Nasisitiza mwambie huyo mwandani wako afueage hilo chupi lake na sio kutulazimisha as if umeshatembea na wanaume wote.

Jasho, kutonyoa, kutofua chupi, magonjwa ya ngozi, govi hivyo vyote vinafanya mtu anuke.

Na wewe usipende kukamatwakamatwa popote unapopatikana. Hao wanaume wako wasiooga kabla ya tendo watakuambukiza magonjwa. Unapaswa kujua kuwa hiyo kitu yako ni delicate kwa hiyo unakubali kuparamiwa hapo hapo ulikokutwa
 
Ya'll know me still the same ol' G
But I been low key
Hated on by most these niggas
With no cheese, no deals and no G's, no
wheels and no keys
No boats, no snowmobiles and no ski's
Mad at me cause
I can finally afford to provide my family
with groceries
Got a crib with a studio and it's all full of
tracks
To add to the wall full of plaques
Hangin up in the office in back of my
house like trophies
But ya'll think I'm gonna let my dough
freeze
Ho Please
You better bow down on both knees
Who you think taught you to smoke
trees
Who you think brought you the o' G's
Eazy-E's Ice Cube's and D.O.C's and
Snoop D O double G's
And a group that said mutha**** the
police
Gave you a tape full of dope beats
To bump when stroll through in your
hood
And when your album sales wasn't doin
too good
Who's the doc that he told you to go see
Ya'll better listen up closely
All you niggas that said that I turned pop
Or the Firm flop
ya'll are the reason Dre ain't been
getting no sleep
So **** ya'll all of ya'll
If ya'll don't like me blow me
Ya'll are gonna keep ****in around with
me
And turn me back to the old me


THATS DR. DRE...4GET ABOUT DRE....i need a doctorrrrrrrrrrr.
mzee umetishajeeeeeee?....
 
baba mbona mapovu yamekutoka na kashfa juu,hata unngesema lolote baya juu yangu kama silifanyi haliniumizi kichwa wala halitahalalisha mimi kuwa harlot ,nilimwacha and am no longer interested kwa kifupi mwache uchafu.kwani mnaposemaga wanawake kila kukicha humu mmelala nao wote?mgd understood.avoir
 
inategemea umekulia maenneo gani ikiwa mwanaume amekulia maeneo ya pwani au katika maadili ya kiisilamu huwa lazima tuoshe kwa maji au kama huna maji ustanji yaani unatumia mawe hii usipofanya hivyo nguo zitaingia mkojo na hazitofaa kuswalia na kumbuka waisilamu wanaswali mara tano kwa siku hivyo hawezi kuvaa nguo zenye mokojo au kinyesi au najis ya aina yoyote ile ALHAMDULILAH FOR ISLAM
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom