mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 519
Wengi wanamaliza haja ndogo tu na kuvaa bila hata kunawa, upesi upesi kama wanakimbizwa; matokeo yake nguo za ndani zinabaki na mikojo then kuleta harufu za ajabu ajabu.
Mtu ni afya, mnawe mara baada ya haja ndogo osheni maeneo yenu kama kina dada wanavyofanya wanawake wengi wanavumilia harufu wakati wa BJ na hata wakati wa faragha wanatamani hata wakimbie.
In short inawakata stimu balaa, na hii huchangia wengi kuibiwa kwa kuwalaghai kuwa mmewafikisha kileleni, maana hakuna hisia tena harufu inaboa.
Inatosha sasa kuwatesa na harufu kali hizo, bora mtumie vyoo kamili ili muweze kusitiri aibu hii na kuacha upesi mkikimbiwa.
Msilaumu, kuweni wasafi maeneo nyeti.
Mtu ni afya, mnawe mara baada ya haja ndogo osheni maeneo yenu kama kina dada wanavyofanya wanawake wengi wanavumilia harufu wakati wa BJ na hata wakati wa faragha wanatamani hata wakimbie.
In short inawakata stimu balaa, na hii huchangia wengi kuibiwa kwa kuwalaghai kuwa mmewafikisha kileleni, maana hakuna hisia tena harufu inaboa.
Inatosha sasa kuwatesa na harufu kali hizo, bora mtumie vyoo kamili ili muweze kusitiri aibu hii na kuacha upesi mkikimbiwa.
Msilaumu, kuweni wasafi maeneo nyeti.