Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,399
KUBAKA MPENZI WAKO
Ni kufanya tendo là ndoa na mwanamke bila idhini yake ikiwa idhini hiyo mwanaume kaipata kwa
-Nguvu/kumlazimisha mwanamke baada ya dushe kusimama ghafla baada ya kuwa karibu Au kumuona tu mpnz wako.
-Mwanaume kujifanya kuumwa na kuzidiwa na mihemko kugalagala ovyo kitandani kama anataka kukata roho na kujifanya dawa ni mpaka tendo là ndoa na hizo viagra mtakufa wengi.
-Kumnunia mwanamke na kuacha kupiga soga baada ya kuona mwanamke hayuko tayar ambapo hupelekea kwamba mwanamke kulinda penzi lake anajilazmisha kukupa tendo là ndoa kwa kujikaza tu kukuridhisha hivyo unakuwa umembaka.
Wanaume mtaacha lini kutubaka kwann hamko romantic jaman ? Kama unataka tendo là ndoa muandae mapema mpnz wako aandae mashambulizi ya mechi sio unadanganya unaumwa mpnz wako anakuja kukusalimia hana hata wazo là tendo akifka dushe juuu juu kama kichwa cha nyokaa aliyeona binadamu kwann sio wakweli jamani ?
Tunawavumilia sana tuma hata sms tu asubuh Baby leo nataka tucheze mechi mtu siku nzima anakuwa anapanga kikosi jion kila mtu ana mzuka wa mechi umeona wapi unaenda uwanjan kuangalia uwanja unaambiwa ucheze hata huna vifaaa.
Ni kufanya tendo là ndoa na mwanamke bila idhini yake ikiwa idhini hiyo mwanaume kaipata kwa
-Nguvu/kumlazimisha mwanamke baada ya dushe kusimama ghafla baada ya kuwa karibu Au kumuona tu mpnz wako.
-Mwanaume kujifanya kuumwa na kuzidiwa na mihemko kugalagala ovyo kitandani kama anataka kukata roho na kujifanya dawa ni mpaka tendo là ndoa na hizo viagra mtakufa wengi.
-Kumnunia mwanamke na kuacha kupiga soga baada ya kuona mwanamke hayuko tayar ambapo hupelekea kwamba mwanamke kulinda penzi lake anajilazmisha kukupa tendo là ndoa kwa kujikaza tu kukuridhisha hivyo unakuwa umembaka.
Wanaume mtaacha lini kutubaka kwann hamko romantic jaman ? Kama unataka tendo là ndoa muandae mapema mpnz wako aandae mashambulizi ya mechi sio unadanganya unaumwa mpnz wako anakuja kukusalimia hana hata wazo là tendo akifka dushe juuu juu kama kichwa cha nyokaa aliyeona binadamu kwann sio wakweli jamani ?
Tunawavumilia sana tuma hata sms tu asubuh Baby leo nataka tucheze mechi mtu siku nzima anakuwa anapanga kikosi jion kila mtu ana mzuka wa mechi umeona wapi unaenda uwanjan kuangalia uwanja unaambiwa ucheze hata huna vifaaa.