MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,874
Ni kweli mkuu ila nikilewa nakua mtata Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mkimya huwa haongei sana just because maslah yake hayajaguswa ila jaribu kuhujum mambo yake either kwa kumuongelea au kumtendea isivyo halaf akajua au akasikia ndipo utamfaham undani wake.Kiufupi kufunga kwake kinywa husitiri tabia yake ya ndani.Wakimya ndio wanakuaje mkuu... Naomba tofaouti kati ya mkimya na mpole
Mtu mkimya huwa haongei sana just because maslah yake hayajaguswa ila jaribu kuhujum mambo yake either kwa kumuongelea au kumtendea isivyo halaf akajua au akasikia ndipo utamfaham undani wake.Kiufupi kufunga kwake kinywa husitiri tabia yake ya ndani.
Mtu mpole bwana mara nyng pia huwa sio muongeaji sana ingawa hata akiwa anaongea huwa na nature ya utaratibu.Ana busara kwa mambo mengi anayofanya ana kufanyiwa.Unaweza mtenda lakin akatumia njia zisizo za kuumiza ili kutatua jambo.Ni mtu ambaye anatanguliza maslah ya wengine zaid kuliko yy.Huwa na kama ujinga flan hiv mpaka unajiuliza huyu nae mzima au??maana unaweza mkanyaga akakuvulia tu au akakueleza kwa upendo kabisa.Huyo ndio mtu mpole
Kwa jinsi ninavyofaham mm
Hapo ndo umeandika nini mkuuu... Hebu rudia tena kisoma mwenyewe kwanzaWanawake waongeaji hupenda wanawake wapole ili wawe huru kufanya mambo yao (wasiesemwe semwe au kufuatiliwa)
Nimetoka kuuacha ukatibu mwenezi kanda ya kaskazini wiki 3 zilizopitaaKabisa
Sisi ndo waasisi wa chaputa
Nishawahi kuwa katibu wa hichi chama
Hapo ndo umeandika nini mkuuu... Hebu rudia tena kisoma mwenyewe kwanza
Kuna tofauti kubwa kati ya upole na ukimya.
Mkuu umri wako tafadhali, tusije kuwa tunaongea na wajukuu zetu.
Hahaha Bora ulivyo sema aiseKituko ni hapa tu tunavyovamia huu uzi na kujifanya sifa hizi ni zetu sote
Ina maana Jf sie wote wapole au mi ndo sijaelewa??
All in all mtoa mada umeongea ukweli maana ht mm binafsi sijui kutongoza na neno nakupenda sikumbuki niliwahi kumwambia demu wapi ila huwa najikuta nipo kwenye mahusiano ila kibaya sasa ni kugandwa hata pale unapokuwa huna plan ya kumuoa utasikia "nipo tayari unioe hata bure" au km "Nikupe hela uzuge ndo mahari" Nyie wadada nyie..
"Mtu mkimya huwa haongei sana just because maslah yake hayajaguswa ila jaribu kuhujum mambo yake either kwa kumuongelea au kumtendea isivyo halaf akajua au akasikia ndipo utamfaham undani wake.Kiufupi kufunga kwake kinywa husitiri tabia yake ya ndani."Mtu mkimya huwa haongei sana just because maslah yake hayajaguswa ila jaribu kuhujum mambo yake either kwa kumuongelea au kumtendea isivyo halaf akajua au akasikia ndipo utamfaham undani wake.Kiufupi kufunga kwake kinywa husitiri tabia yake ya ndani.
Mtu mpole bwana mara nyng pia huwa sio muongeaji sana ingawa hata akiwa anaongea huwa na nature ya utaratibu.Ana busara kwa mambo mengi anayofanya ana kufanyiwa.Unaweza mtenda lakin akatumia njia zisizo za kuumiza ili kutatua jambo.Ni mtu ambaye anatanguliza maslah ya wengine zaid kuliko yy.Huwa na kama ujinga flan hiv mpaka unajiuliza huyu nae mzima au??maana unaweza mkanyaga akakuvulia tu au akakueleza kwa upendo kabisa.Huyo ndio mtu mpole
Kwa jinsi ninavyofaham mm
Mzee na mm nimo.Wasionijua wananionaga mpole ila wanaonifaham hawanaga hamu na mm.."Mtu mkimya huwa haongei sana just because maslah yake hayajaguswa ila jaribu kuhujum mambo yake either kwa kumuongelea au kumtendea isivyo halaf akajua au akasikia ndipo utamfaham undani wake.Kiufupi kufunga kwake kinywa husitiri tabia yake ya ndani."
Mkuu uko vizuri. Kumbe watuelewa vema.
Mzee na mm nimo.Wasionijua wananionaga mpole ila wanaonifaham hawanaga hamu na mm.."Mtu mkimya huwa haongei sana just because maslah yake hayajaguswa ila jaribu kuhujum mambo yake either kwa kumuongelea au kumtendea isivyo halaf akajua au akasikia ndipo utamfaham undani wake.Kiufupi kufunga kwake kinywa husitiri tabia yake ya ndani."
Mkuu uko vizuri. Kumbe watuelewa vema.
Unaweza fanya ujinga lakini watu wanakukingia kifua kabisa. "Huyu hapana hawezi"
Yaani unasimamiwa kidete kabisa.
Asante sanaHongera