Ukileta bandiko la kuwa watu wakali wanaheshimika kwenye ndoa zao basi ID zote zinageuka Wakurya JF ni suala la mada tu kila mtu anageuka tajiri na mmiliki Range Rover velar.Hii ndo JF bwana kila ya kiume hapa ita-act upole na ukimya afu huko uraiani ni moto wa kuotea mbali
Sipingi..... yaani humu hapajawai kueleweka 😂 😂Ukileta bandiko la kuwa watu wakali wanaheshimika kwenye ndoa zao basi ID zote zinageuka Wakurya JF ni suala la mada tu kila mtu anageuka tajiri na mmiliki Range Lover velar.
Teh tehSipingi..... yaani humu hapajawai kueleweka
Dah...Kuna ukimya na uzubavuKuna upole na ukimya...
Unampenda huyo bwana.dah ni kweli uku mtaan kwetu kuna jamaa mmoja namuelewaga sana yaan hanaga stor na mtu alafu smart balaa..yaan wanawake wanamkubali sana ukimouna ni kama hajawai kuduu vile..yuko ki gentle mda ote ananukia ata akitoka mazoezin hanuki jasho cjui anatumia spray gani ile..
no..simjui kwa chochote namkubali tuu kawaida.Unampenda huyo bwana.
Hii ipo sana, wanaume tusiokuwa wazungumzaji ktk kutongoza huwa ni shughuli pevu sana ,ila Mara nyingi tunapendwa na wanawake waongeaji sijui kwa sababu zipi, ikitokea tumemuelewa mwanamke huwa tunapenda ndani kwa ndani inaweza ikatokea umempania kumtokea mwanamke fulani lakini ukifika tu mistari yote imepotea , shughuli nyingine huwa ipo kwa demu unayekuwa naye kama ni muongeaji kupitiliza huwa wana tabia ya kupenda kukutambulisha kwa best friends wao wa karibu sasa usiombe wote wawe waongeaji utabaki bubu,ila Mara nyingi tunaweza tukachukua hata wanawake zaidi ya wawili ktk mtaa mmoja bila wao kujijua, ikitokea unapewa kesi ya kugonganisha mademu watu watakutetea kutokana na ukimya wako,pia huwa tuna aminika sasa, vilevile inasemekana watu aina yetu ndio waasisi wa chaputa(masterbation) sina hakika sana ktk hili.
Kwahiyo yule manzi uliyefuma picha za utupu kwenye cmu ya mumeo hutamuacha hiv hiv???Sio kwa dunia ya sasa..eti uwagonganishe wakutetee? Kwenye mgongano kuna kuangalia upole? Labda kama hao wanawake ni mazuzu
Hizo ndo tunaita feelings.no..simjui kwa chochote namkubali tuu kawaida.
Ahahaha.Kabisa
Sisi ndo waasisi wa chaputa
Nishawahi kuwa katibu wa hichi chama
Huyu sasa ndio mm.Niwe muwazi tu..Mm ni mkimya sio mpole..na sifa yangu kubwa sijawah kupendwa na demu hata siku moja.huyu nilie nae kwakwel ilikua bahat tu ndio mana nikaona nioe kabisaa maana nikimkosa sijui kama nitaweza pata mwingine kirahis rahis..Upole kimuonekano, mkorofi kiuhalisia
Wakimya ndio wanakuaje mkuu... Naomba tofaouti kati ya mkimya na mpoleHuyu sasa ndio mm.Niwe muwazi tu..Mm ni mkimya sio mpole..na sifa yangu kubwa sijawah kupendwa na demu hata siku moja.huyu nilie nae kwakwel ilikua bahat tu ndio mana nikaona nioe kabisaa maana nikimkosa sijui kama nitaweza pata mwingine kirahis rahis..