venance7
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 554
- 1,634
Hii ipo sana, wanaume tusiokuwa wazungumzaji ktk kutongoza huwa ni shughuli pevu sana ,ila Mara nyingi tunapendwa na wanawake waongeaji sijui kwa sababu zipi, ikitokea tumemuelewa mwanamke huwa tunapenda ndani kwa ndani inaweza ikatokea umempania kumtokea mwanamke fulani lakini ukifika tu mistari yote imepotea , shughuli nyingine huwa ipo kwa demu unayekuwa naye kama ni muongeaji kupitiliza huwa wana tabia ya kupenda kukutambulisha kwa best friends wao wa karibu sasa usiombe wote wawe waongeaji utabaki bubu,ila Mara nyingi tunaweza tukachukua hata wanawake zaidi ya wawili ktk mtaa mmoja bila wao kujijua, ikitokea unapewa kesi ya kugonganisha mademu watu watakutetea kutokana na ukimya wako,pia huwa tuna aminika sasa, vilevile inasemekana watu aina yetu ndio waasisi wa chaputa(masterbation) sina hakika sana ktk hili.