Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,438
Hapo sasa,mwanaume unakubali mwanamke akukague katikati ya makalio ili akagundue nini?bora umemwambia,,,,yeye mwenyewe anapenda uchafu....then hiyo mibwanyenye yake ni mipunga......
Hapo sasa,mwanaume unakubali mwanamke akukague katikati ya makalio ili akagundue nini?bora umemwambia,,,,yeye mwenyewe anapenda uchafu....then hiyo mibwanyenye yake ni mipunga......
Utawajua tu waliotanuliwa na wanaume wanene hafu wakaachwa bila hata hela yasabuniIla wanaume wengi wachafuuu.tunaopanda usafili wa uma tunakoma.
A million dollar question! Huko mstarini anafikaje, coz mwanaume anayeruhusu hilo hatumuiti mwanaume, huwa wana majina yao.Sasa kwenye mfereji wa...huwa unafata nini huko?
Na huyo mwanaume anayekuruhusu ufike huko ana matatizo
Wachafu utawajua tu yupo dar bonge LA mtumbo hajaoga siku ya tatu Leo kapanda usafiri was uma alafu anaongea sana utazani anatoa mahubili...gar zima limenyamaza kimya anadhani watu wanamsikiliza yeye kumbe wanatafakali harufu inayotoka.Utawajua tu waliotanuliwa na wanaume wanene hafu wakaachwa bila hata hela yasabuni
Wachafu utawajua tu yupo dar bonge LA mtumbo hajaoga siku ya tatu Leo kapanda usafiri was uma alafu anaongea sana utazani anatoa mahubili...gar zima limenyamaza kimya anadhani watu wanamsikiliza yeye kumbe wanatafakali harufu inayotoka.
Harufu kama mzoga..Unajuaje hajaoga siku tatu???