Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
😁😁Aisee🤔😁
😁😁Aisee🤔😁
"Unataka Mpalange?" .....wow!! Mkuu huwa unapenda sana kupelekwa buza?Kuna baadhi ya miwanaume inayopenda kununa inakera sana.
Nilikuwa na boyfriend wangu yani kila ikifika Ijumaa lazima litafute sababu ya kugombana ili linune weekend yote. Unakuta wewe mwenyewe unataka mpalange lenyewe limenuna.
Na nimefanya utafiti wangu nimegundua wanaume wengi wa aina hii huwa hawawezi hata kuishi kwenye maisha ya ndoa.
Acheni kununanuna ovyo wababa
Nimejifunza kitu....kumbe akili inakuwa imefubaaaLabda unachanganya kati ya Wanaume na Watoto, angalau Mwanamke akinuna inaweza kukubalika na kueleweka lakini Mwanaume kununa? Basi ujue huyo ana arrested development au amefubaa kiakili, jaribu ku-date Wanaume na siyo watoto.
Ohoooo!!!Kwani ni mimi peke yangu?? Madada wengi tu sasa hivi - enjoyable
Ukute alikuwa anajutia kumsaliti mke wakeKuna baadhi ya miwanaume inayopenda kununa inakera sana.
Nilikuwa na boyfriend wangu yani kila ikifika Ijumaa lazima litafute sababu ya kugombana ili linune weekend yote. Unakuta wewe mwenyewe unataka mpalange lenyewe limenuna.
Na nimefanya utafiti wangu nimegundua wanaume wengi wa aina hii huwa hawawezi hata kuishi kwenye maisha ya ndoa.
Acheni kununanuna ovyo wababa