Wanaume wanaocheza mziki

Dejane

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
49,442
67,955
Hivi ni kwanini wanaume wanakatika sana wakiwa wanacheza mziki wanamaanisha nini? Yaani sipendi kabisa kuona mwanaume akikata mauno hata hawa wasanii wetu wanaudhi na kukera aisee.

Hamumuoni Darasa anavaa vyema, havai hereni, anavyocheza sasa kigentlemen mpaka unapenda tu kumuangalia, hivi na kina Chriss Brown wanakatika hivi kweli sijawahi ona hayo mauno mnayokatika hadharani hebu yapelekeni kitandani kwa wake zenu au wapenzi wenu.

Napenda sana mwanaume mgumu akicheza mziki acheze kiuanamme mfano Fid Q hua hakatiki na yuko poa tu. Sasa ukienda club sehemu za starehe wanaume wanakatika unakuta limtu linakatika linataka licheze nawe aisee hua sitaki kabisaa, mwanaume unakatika ya niniii?

Jifunzeni basi kupitia hawa kina Darasa, Joh Makin, Niki wa pili na vijana wengine wanaocheza vyema tu, hayo mauno katikeni kwenye viuno vyetu kama mnajua kukatika kweli bana.

Yaani wanaume wanaokatika wakiwa wanacheza mziki wanakeraa aisee na vinguo vyenu vya kubana.

Tusameheane tu ila ukweli usemwee
 
Hivi ni kwanini wanaume wanakatika sana wakiwa wanacheza mziki wanamaanidha nini,,,,yaan sipendi kabisa kuona mwanaume akikata mauno ,hata hawa wasanii wetu wanaudhi na kukera aisee ,,hamumuoni Darasa anavaa vyema ,havai hereni,anavyocheza sasa kigentlemen mpaka unapenda tu kumuangalia ,,
Napenda sana mwanaume mgumu ,akicheza mziki acheze kiuanamme ,mfano fd q hua hakatiki na yuko poa tu
Sasa ukienda club sehemu za starehe wanaume wanakatika unakuta limtu linakatika linataka licheze nawe aisee hua sitaki kabisaa,mwanaume unakatika ya niniii?
bibie..wewe juzi si ndio umekuja na mfano picha wa aina ya mwanaume anayekuvutia?....vigezo vyote alivyokua navyo leo hii unavichukia tena?!?..yamekuwa hayo?!...hizi pilau za christmas hizi!!!!
Weka picha ya kijana anaevutia
Thread by: Dinazarde, Dec 11, 2016, 253 replies, in forum: JF Chit-Chat
 
Fally ipupa ndo alileta hiyo style sasa nadhani nyie wanaweke mlivyo pagawa na kiuno chake mkatuharibu na sisi same katika nyanja nyingi za watz hatuna icon yetu labda kiswahili pekee ilavingine tunacopy somewhere then tuna edit
 
Ndugu inategemea na aina ya muziki kwani kila muziki una staili yake ya uchezaji. Huweza kucheza sebene kama inavyoelezwa blues au rnb au salsa. Mnachoona toka kwako ni kwamba huna interest na aina ya miziki ambayo uchezaji wake ni wa kukata viuno. Kila mtu ana aina yake ya muziki anaoupenda na uchezaji wake. Imagine wanaume wote tungekuwa tunapenda wanawake wenye makalio makubwa au wanene je hao wasiyokuwa na makalio makubwa au wembamba wangependwa na nani? Ndiyo maana mungu kaumba variety mbalimbali kwa kila kitu hapa duniani. Na kamwe huwezi kupenda variety zote katika kila kiumbe lazima utakuwa na interest kwenye variety moja au mbili na nyingine hutzimindi sana.
 
bibie..wewe juzi si ndio umekuja na mfano picha wa aina ya mwanaume anayekuvutia?....vigezo vyote alivyokua navyo leo hii unavichukia tena?!?..yamekuwa hayo?!...hizi pilau za christmas hizi!!!!
Weka picha ya kijana anaevutia
Thread by: Dinazarde, Dec 11, 2016, 253 replies, in forum: JF Chit-Chat
Ahahahahhahah tyta nawee ,,,helen afadhal nadhani japo sipendi pia mwanaume avae hereni,
Pilau nimeshiba mpaka muda huu nimelala,nataka nitokeee
 
Hivi ni kwanini wanaume wanakatika sana wakiwa wanacheza mziki wanamaanidha nini,,,,yaan sipendi kabisa kuona mwanaume akikata mauno ,hata hawa wasanii wetu wanaudhi na kukera aisee ,,hamumuoni Darasa anavaa vyema ,havai hereni,anavyocheza sasa kigentlemen mpaka unapenda tu kumuangalia ,,hivi na kina chriss brolwn wanakatika hivi kweli sijawahi ona,,,hayo mauno mnayokatika hadharani hebu yapelekeni kitandani kwa wake zenu au wapenzi wenu
Napenda sana mwanaume mgumu ,akicheza mziki acheze kiuanamme ,mfano fd q hua hakatiki na yuko poa tu
Sasa ukienda club sehemu za starehe wanaume wanakatika unakuta limtu linakatika linataka licheze nawe aisee hua sitaki kabisaa,mwanaume unakatika ya niniii?
Jifunzeni basiii kupitia hawa kina darasa,joh makin,niki wapili na vijana wengine wanaocheza vyema tu,hayo mauno katikeni kwenye viuno vyetu kama mnajua kukatika kweli bana
Yaan wanaume wanaokatika wakiwa wanacheza mziki wanakeraa aisee na vinguo vyenu vya kubana,
Tusameheane tu ila ukweli usemwee
Limwanaume linakatika hahaha
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom