Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,093
- 13,294
Kwan lushoto kuna niniNa huyu ametokea vijiji vya huko huko TANGA ila sio lushoto...... Kenyewe kanasema kalikua kanafanya kazi za ndani wazazi wake wakakaita ili kaje kaolewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan lushoto kuna niniNa huyu ametokea vijiji vya huko huko TANGA ila sio lushoto...... Kenyewe kanasema kalikua kanafanya kazi za ndani wazazi wake wakakaita ili kaje kaolewe
Akikupiga usisite kuleta mrejeshonipigwe kisa nini..... Asubutu nitamuonyesha asifikiri kila mtu Ni wa kupigwa
Njoo nipo nyumbaniUsitake kufundisha Akina Mura na vitu vya ajabu ukome kabisa
Wivu umekujaa mpaka umeota makunyanzi usoniWewe jirani weweeee may thunder strike you.... Shenzi kabisaaa.....
Ipo ivi hapa nnapokaa nna jirani yangu Ni mwanaume alioa mwezi uliopita zile ndoa za ramadhani zile... Sasa kilichonifanya nianzishe Uzi Ni jinsi anavo mtreat mkewe yaan sio sawa kabisa , kwanza binti wa watu ana miaka kumi na Tisa tuu kametolewa kijijini kuletwa mjini Kuja kuteseka kabinti kawatu kanapigwa na ndo kwanza ndoa Haina hata miezi mitatu.... Mwanaume Ni Malaya huyuuu kila nikirudi kutoka kwenye mizunguko yangu namfuma maeneo ya hatari ila najikausha tuu Leo nimeshindea kuvumilia kwakweli maana leo tena kampiga vibao mtoto wa watu kwa kosa la kijinga kabisa.....
Swali langu kwa wanaume wa huku jf wenye tabia Kama hi kwanini ukaoe mtoto wa watu mdogo anaesalimia kwa kupiga goti uje umtese???? SI Bora utafute gume gume za huku mjini tuuu.....
Wito kwa wazazi na wale wenye ndugu zao vijijin msiozeshe mabinti zenu wadogo kwa mwanaume ambae hajajuana nae yaan amekuja tuu kijijin kwa ajil ya kutaftiwa mke tuuu wanakuja kuteseka huku jamani...
Uyu msichana anapenda kajifunika funika kumbe anaficha alama za alipopigwa
Wewe mwanaume wewe naomba Mungu uwe tuu jf uje usome hapa ili angalau uache ujirekebishe
Duuh!Miaka 19 ni mdogo sana.
Pengine hata mwanaume anaongea na vicheche wake mbele yake na hakafanyi kitu.
Huyo mwanaume angenioa mimi ningeshamkata naniii zake nichemshe supu. Nimechukia sana
Wewe jirani weweeee may thunder strike you.... Shenzi kabisaaa.....
Ipo ivi hapa nnapokaa nna jirani yangu Ni mwanaume alioa mwezi uliopita zile ndoa za ramadhani zile... Sasa kilichonifanya nianzishe Uzi Ni jinsi anavo mtreat mkewe yaan sio sawa kabisa , kwanza binti wa watu ana miaka kumi na Tisa tuu kametolewa kijijini kuletwa mjini Kuja kuteseka kabinti kawatu kanapigwa na ndo kwanza ndoa Haina hata miezi mitatu.... Mwanaume Ni Malaya huyuuu kila nikirudi kutoka kwenye mizunguko yangu namfuma maeneo ya hatari ila najikausha tuu Leo nimeshindea kuvumilia kwakweli maana leo tena kampiga vibao mtoto wa watu kwa kosa la kijinga kabisa.....
Swali langu kwa wanaume wa huku jf wenye tabia Kama hi kwanini ukaoe mtoto wa watu mdogo anaesalimia kwa kupiga goti uje umtese???? SI Bora utafute gume gume za huku mjini tuuu.....
Wito kwa wazazi na wale wenye ndugu zao vijijin msiozeshe mabinti zenu wadogo kwa mwanaume ambae hajajuana nae yaan amekuja tuu kijijin kwa ajil ya kutaftiwa mke tuuu wanakuja kuteseka huku jamani...
Uyu msichana anapenda kajifunika funika kumbe anaficha alama za alipopigwa
Wewe mwanaume wewe naomba Mungu uwe tuu jf uje usome hapa ili angalau uache ujirekebishe
Ndo hivyo hawa wanaume hawaaa Mungu anawaona.... Ingekuwa Ni Hawa wanawake wa Mjini hata nisingeshtuka lkn haka katoto hata hakajui haki zake jamani .....
Labda ampe somo namna gani asepe..!!Mfundishe haki zake, Mfundishe namna ya kujitetea.
Ipo namna njema zaidi ya hiyo, huyo jamaa ni dhaifu sanaLabda ampe somo namna gani asepe..!!
Dogo hawezi mcontrol jamaa.. Jamaa anaona huyo ni mtoto tu hawezi elewa kwa kuambiwa ni kipigoo tuu...!! So hapo either dogo avumilie kipigo au watu wazima waende kuongea na jamaa apunguze kumpiga dogo ila dogo huyo hawezi fanya lolotr kujisaidia labda atorokeeIpo namna njema zaidi ya hiyo, huyo jamaa ni dhaifu sana
Miaka 19 ni mdogo sana.
Pengine hata mwanaume anaongea na vicheche wake mbele yake na hakafanyi kitu.
Huyo mwanaume angenioa mimi ningeshamkata naniii zake nichemshe supu. Nimechukia sana
Unaenda kushtaki? EhAkinipiga namlaza ndani akili imkae sawa
Hahahaaaa poleee Sina kunyanzi hata Moja...... Na Wala Sina wivu Ni kwamba namsaidia tuu huyu binti sijui kesho Nani atanisaidia Mimi ama wanangu ama ndugu zangu upooWivu umekujaa mpaka umeota makunyanzi usoni
Nipo kwenye process...... Wala ndoa yake haitavunjika labda tuu Kama mwanaume hata acha upuuzi wakeDada naomba, naomba sana ulifanye hili kwa ajili yangu, iko siku utanielewa. Zungumza vizuri na huyo binti kama mzazi wake, bado ni binti mdogo mno! Ongea nae uangalie namna ya kumsaidia mpaka Ustawi wa Jamii, usiangalie mambo ya kuvunja ndoa ya watu, ni bora ivunjike tu huyo binti abaki salama. Unaweza ukawa unasita kumsaidia hivyo, likampata kubwa zaidi hata kupoteza maisha yake kitu kitakachokutesa maisha yako yote. Msaidie huyu binti dada tafadhali sana