mkazamjomba
Member
- Jan 27, 2012
- 61
- 21
utajisikiaje na wewe unarudi mapema nyumbani hukuti chakula ingawa kipo stoo, kwenye handbag ipo picha ya mwanaume mwingine hataki mtoke wote,unamwona sio mwaminifu je hapo kisu kimeingia kwenye mfupaaa?
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami
ntajisikia vizuri kwasababu mimi ndio chanzo cha tatizo.utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami
Nitaumia sana.
Ukiumia kunywa panado
nataka nimtafune hamisi, nitafune kishindindo chake.
Utamuumiza mwenzio bana...
Au mkeo/mpenzi kakufuma uko bar moja tuliiivu unamtongoza demu, halafu we hujamuona ila yeye kakuona na kasikia mazungumzo yako na uyo dem, alafu kaja pale mlipo bila kelel wala nini, kavuta kiti kakaa, ivi utafanyaje?
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami
Nitaumia sana.