Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Mane sijakuona leo kwa Lema.
Maendeleo hayana chama
Nilikuepo my dear...nilishikwa sana na hasira...nikaamua nipombeke tu
Mane sijakuona leo kwa Lema.
Maendeleo hayana chama
Nilikuepo my dear...nilishikwa sana na hasira...nikaamua nipombeke tu
Kwa hio hapa naongea na heng'-ova?
Maendeleo hayana chama
Pole dear, kama vipi tumtume akatibiwe tena India maana mi nnamashaka nae tokea alivyorudi kipindi kile naona hayupo sawa, inawezekana wahindi walichokonoa fyuzi zake.vyombo balaaa
Umbali mkuu! Nauli GO And Return ni zaid ya 2M. Na kuna vitu anasimamia
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah wanaume wa aina yako labda umebaki wewe tu. KEEP IT UP Mkuu.Inawezekana mkuu ila sisi tumeambiwa tuwafikirie mema wake zetu. Changamoto ipo kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app