Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Biblia inasema Mwanamke ataachana na wazazi wake na kuambatana na mmeo.
Kwao alikuwa anakula vizuri,analala vizuri,kakufuata,kumlisha na kumpa mahitaji ni wajibu wa mwanaume.
Wanawake wengi wanavumilia wanaume wenye hali ngumu,ila wanatakiwa waridhishwe.
Hakuna anayetaka kuwa maskini ,wanawake wote wanatakiwa wakidhiwe mahitaji yao,ila kama hawaridhiki huo ni mtihani mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwao alikuwa anakula vizuri,analala vizuri,kakufuata,kumlisha na kumpa mahitaji ni wajibu wa mwanaume.
Wanawake wengi wanavumilia wanaume wenye hali ngumu,ila wanatakiwa waridhishwe.
Hakuna anayetaka kuwa maskini ,wanawake wote wanatakiwa wakidhiwe mahitaji yao,ila kama hawaridhiki huo ni mtihani mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app