Kanzu?Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
kanzu tena sindo itakuwa kama deraHuu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Mbavu zanguSasa mkuu wakivaa kanzu nyeupe na kofia nyeusi si ndiyo watafananishwa na mishumaa mikubwa ya nyakati za Pasaka?Maana kanzu nyeupe itafanana na mshumaa halafu kofia nyeusi itafanana na utambi wa huo mshumaa.
Usisikitike mkuu.Hapo huwa yanatutoka tu.Ndipo huwa tunasingizia balimi.Mbavu zangu
Mkuu picha ingenogesha sanaHuu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
HahahahahahahaHawa jamaa Kama wewe ni mrefu usipende sana kuanzisha nao ugomvi, maana wako karibu zaidi na mawe ya ardhini kuliko wewe mrefu.