Wanaume wafupi na wanene vazi la suti achaneni nalo, haliwafai. Vaeni kanzu

Naomba picha ya Petro Msigwa akiwa amevaa suti kama ni kweli hazipendezi kwa watu wafupi
 
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.

Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.

Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.

Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.

Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Kanzu?
Wakristo hawana mazoea ya kuvaa kanzu.
 
Hawa jamaa Kama wewe ni mrefu usipende sana kuanzisha nao ugomvi, maana wako karibu zaidi na mawe ya ardhini kuliko wewe mrefu.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.

Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.

Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.

Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.

Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
kanzu tena sindo itakuwa kama dera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.

Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.

Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.

Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.

Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Mkuu picha ingenogesha sana
 
Mkuu acha wivu, kama wewe hauna suti hata yakuazima basi kausha tyu..Usiforce tufananeeeeeeeeeeeH
 
Back
Top Bottom