Wanaume wafupi na wanene vazi la suti achaneni nalo, haliwafai. Vaeni kanzu

Kajamaa kama yule msanii Bizman(mishi mishi nifungulie mlango wa bafuni nimefungiwa)kanavaa suti eti hahah
 
nimetumwa na rais mstaafu wa awamu ya tatu nikwambie kuwa usitupangie,tutavaa tunavyojisikia.
 
Back
Top Bottom