Wanaume wafupi na wanene vazi la suti achaneni nalo, haliwafai. Vaeni kanzu

Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.

Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.

Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.

Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujap3ndeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.

Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Mwanaume mfupi nae mwanaume? Yani Kati ya wanaume na wewe unamhesabia mtu mfupi kuwa ni mwanaume daaah umeniharibia Siku yangu Ya Boxing Day
 
Lah!! kweli binadamu kwa kujikweza hajambo.
Mtu kanunua nguo akaridhika nayo vipi atoke huyo anayejinasibu kwa kiburi eti mtu wa aina fulani hapendezi.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.

Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.

Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.

Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujap3ndeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.

Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Screenshot_20181226-164953.png
Screenshot_20181226-165319.png
Screenshot_20181226-165543.png
Screenshot_20181226-165627.png
Screenshot_20181226-170114.png
Screenshot_20181226-170148.png
Screenshot_20181226-170148.png
Screenshot_20181226-170312.png
Screenshot_20181226-170519.png
Screenshot_20181226-170712.png
Screenshot_20181226-171233.png
Screenshot_20181226-171258.png
Screenshot_20181226-171322.png
Screenshot_20181226-171449.png
Screenshot_20181226-171523.png
 
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.

Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.

Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.

Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.

Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Weka picha basi
 
Back
Top Bottom