The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
- Thread starter
- #21
Wewe una laana,ππππππ
Wewe una laana,ππππππ
Mwanaume mfupi nae mwanaume? Yani Kati ya wanaume na wewe unamhesabia mtu mfupi kuwa ni mwanaume daaah umeniharibia Siku yangu Ya Boxing DayHuu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujap3ndeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Unakuta kajitu kafupi kamevaa suti na miwani tinted
Hawajiamini.Napenda kujua kwanini watu wafupi wa kike na wakiume wanakuwaga wakorofi wakorofi
Unakuta kajitu kafupi kamevaa suti na miwani tinted
Mkuu huendi mbinguni mama yanguππππππNi kweli, suti hazifai kwa wanaume wafupi na wanene. Pamoja na mwendo zao zakibata, wanaonekana kama penguins.
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujap3ndeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Dada kuna mada niliona unatafta mume wa kukuoa na kukustili, umepata? Kila la heri mkuu.Chizi
Napenda kujua kwanini watu wafupi wa kike na wakiume wanakuwaga wakorofi wakorofi
Kwasababu moyo wao upo karibu na mfuko wa mavi so muda wote unakua unachemka tu, pia hata wakimeza mate wanajisikia kukojoa ndomana wanakua na stress muda wote
Unakuta kajitu kafupi kamevaa suti na miwani tinted
Weka picha basiHuu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Tuwekeeni na picha ya Maalim Seif ya siku alipotokelezea na ile suti yake maarufu
Na ubishi ni wabishi sana.Napenda kujua kwanini watu wafupi wa kike na wakiume wanakuwaga wakorofi wakorofi