Wanaume wa Tanga na Mapenzi

Tunajaribu kuishi maisha ya sasa kwa kutumia theories za zamani kitu ambacho ni impossible! Kila mtu anaweza kufanya jambo lolote akipata exposure sio lazima awe wa kabila fulani..
 
naskia ukidondosha coin 'springi' za mwanamme wa kichaga zinasimama.

Imagine saa umekaribia mlimani coin inaanguka, utajibeba.

Msinishushie mawe, ni mtu kaiba pasiwe tu.

Kongosho umenichekesha hadi machozi yanatoka. Ofisini hadi wananishangaa.

Wachagga hoyeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!11
 
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.

me mwnyw ndo nnapotoka naunga mikono hoja
 
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.
Mbona wapo kawaida tu!!ila wanapenda tigo na wavivu!!
 
Makubwa haya hii nayo imenipitaje shongongingo mie?

Lakini bora maana mbona ningeyatapika mengi humu ndani?!

Sungura pita, sina mkuki mie!
 
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.

Kuna chuo huwa wanafundishwa ndo mana ni hodari katika hiyo makitu.
 
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.

....mnh! ila Tanga nayo kubwa,...inahusu mpaka kule milimani Usambara?
 
....mnh! ila Tanga nayo kubwa,...inahusu mpaka kule milimani Usambara?

hivi hao wakoje, please nijuze kabla sijaingizwa choo cha kiume...


Makubwa haya hii nayo imenipitaje shongongingo mie?

Lakini bora maana mbona ningeyatapika mengi humu ndani?!

Sungura pita, sina mkuki mie!

Tapika tafadhali, uokoe jahazi kabla nanga haijanyanyuliwa (sitaki tena kuwa mhanga wa thread za maumivu ya moyo)
 
Mi nilidhani na sisi tumo,kumbe tulishapinduliwa?
ngoja nichukue gobole langu nikalale.
 
Mimi nafagilia huko kigoma ila awe amekaa kaa mjini mana niwashamba kweli hujua kuongea bila kujali wanaomzunguka wanaelewa au la, ila niwazuri wakiridhika wanafia kifuani hahahahha huku anaongea kiha
Ni kweli usemayo..kiswahili chao kigumu mpaka ukizoee, kuna saa wanachanganya na kirundi humohumo, ukisema hujaelewa wanakushangaa ati.....hugjaerewa nini hapo!
 
Siku hizi wachaga nao wamekuwa watundu kwenye majambozi jamani, utandawazi umewasaidia. Msiwadharau jamani, wanafukuzana tu na wamakonde, wasukuma, waha, etc!
Waha wameingia lini kwenye chat ya mavituz? Waha wanajua kung'ang'ania ila sio mautundu ya show, Muha akikupenda anamaanisha!
 
Inawezekana, lakini mimi niliwahi kutoka na kijana wa kitanga but he was not kiviile. Nafikiri uwezo wa hiyo kitu kwa dunia ya leo ya utandawazi unategemea mambo mengi, sio sahihi sana kuchambua mambo hayo kwa kufuata makabila hususan kwa wanaume. Siku hizi wapo hata wanaume wa kichaga watundu!
Lakini ulisikiaje?
 
Back
Top Bottom