naskia ukidondosha coin 'springi' za mwanamme wa kichaga zinasimama.
Imagine saa umekaribia mlimani coin inaanguka, utajibeba.
Msinishushie mawe, ni mtu kaiba pasiwe tu.
Wahaya ni noma kwenye majamboz
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.
Mbona wapo kawaida tu!!ila wanapenda tigo na wavivu!!Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.
....mnh! ila Tanga nayo kubwa,...inahusu mpaka kule milimani Usambara?
Makubwa haya hii nayo imenipitaje shongongingo mie?
Lakini bora maana mbona ningeyatapika mengi humu ndani?!
Sungura pita, sina mkuki mie!
Mbavu zangu...
Hapa kila mtu anaanza na "nasikia...nasikia..." Mnasahau kuwa "no research no right to speak". Tunataka fact kwa wale waliojaribu si kusikia tu. Lol.
Toa tusikieSasa mbona umeamua kuja kuniumbua hadharani hapa x? au na mimi nitoe zako?
WanamitarimboHata dada mwingine wa Tanga alinieleza hilo kwamba wanaume wa Tanga si saana, ila mie nimejaribu bibie wa Tanga wako juu eti. Kwa wanaume nadhani wasukuma ndio wako juu.
Ni kweli usemayo..kiswahili chao kigumu mpaka ukizoee, kuna saa wanachanganya na kirundi humohumo, ukisema hujaelewa wanakushangaa ati.....hugjaerewa nini hapo!Mimi nafagilia huko kigoma ila awe amekaa kaa mjini mana niwashamba kweli hujua kuongea bila kujali wanaomzunguka wanaelewa au la, ila niwazuri wakiridhika wanafia kifuani hahahahha huku anaongea kiha
Waha wameingia lini kwenye chat ya mavituz? Waha wanajua kung'ang'ania ila sio mautundu ya show, Muha akikupenda anamaanisha!Siku hizi wachaga nao wamekuwa watundu kwenye majambozi jamani, utandawazi umewasaidia. Msiwadharau jamani, wanafukuzana tu na wamakonde, wasukuma, waha, etc!
Lakini ulisikiaje?Inawezekana, lakini mimi niliwahi kutoka na kijana wa kitanga but he was not kiviile. Nafikiri uwezo wa hiyo kitu kwa dunia ya leo ya utandawazi unategemea mambo mengi, sio sahihi sana kuchambua mambo hayo kwa kufuata makabila hususan kwa wanaume. Siku hizi wapo hata wanaume wa kichaga watundu!