kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,152
Nianze kwa kucheka tu jamani, yani yule baba yake mdogo nancy alinivunja mbavu,lile fumanizi lilifanikiwa kwa asilimia mia wanajamii wenzangu, baba mdogo alitangulizwa na lodge ni ya lijamaa langu la zamani nae nilimuelezea akaongezeka kwenye wale vijeba wanne,kila kitu kiliratibiwa vizuri huku nancy akishirikishwa mambo machache tu na kulishwa maneno pale alipopigiwa simu na baba mdogo.
Kimbembe kilikua kule ndani baba mdogo alivyoshindwa hata kurusha ngumi moja jamani kulikua na silaha kibao kama tv,bomba zile zakushikia mapazia,chaga za vitanda n.k alishindwa kabisa kupigana yule fedhuli mpka nikasema hata mimi mwenyewe ningekomaa bila yale majamaa ningepiga tope hata kwa vidole
Kimbembe kilikua kule ndani baba mdogo alivyoshindwa hata kurusha ngumi moja jamani kulikua na silaha kibao kama tv,bomba zile zakushikia mapazia,chaga za vitanda n.k alishindwa kabisa kupigana yule fedhuli mpka nikasema hata mimi mwenyewe ningekomaa bila yale majamaa ningepiga tope hata kwa vidole