Wanaume Wa Pwani

PoorBongo

Member
Dec 30, 2007
7
0
Nasikia wanaume wa pwani wengi wanapenda kuwafanyia kitu mbaya wake zao, wenyewe huita 'kuruka ukuta' na hii imekuwa ikigundulika hasa wake zao wanapokwenda hospitali kujifungua na kupata taabu kwa vile fyuzi zote huwa zimeshalegea za kuwawezesha kukusanya nguvu za kusukuma mtoto.Mbali na tabu hizi pia wamekuwa wakidhalilishwa na manesi kwa matusi ya nguoni na wakati mwingine baba watoto hulazimishwa kwenda hospitali ili apewe somo la madhara ya kuruka ukuta kwa mkewe.
Kwa wale wanawake ambao wameshapatwa na mkasa huu nasikia husaidiwa kwa kuwekewa pamba sehemu husika (Katikati ya mdomo wa milima ya oldonyo rengai) ili mama aweze kukusanya presha tumboni.
Kwa wale akina baba na akina mama wa pwani mtuambie kama huu ni uzushi au ni kweli
 
Last edited:
Hakuna cha pwani wala bara, hadi wamasai na wasukuma wanapiga samvu la kopo siku hizi, na ukionja tu umekwisha, hutaki tena tundu ingine yoyote!
 
Nasikia wanaume wa pwani wengi wanapenda kuwafanyia kitu mbaya wake zao, wenyewe huita 'kuruka ukuta'

Huyo aliyekusimulia hiyo stori kama sio wewe mwenyewe mtunzi kamuulize vizuri yeye kaipata wapi au kasimuliwa na nani? Maana hizo nasikia (third party) zimekuwa nyingi, hebu tufafanulie yaliyokusibu....
 
hii tabia siku hizi imeshamili sana watu kuruka ukuta.Utakuta hata wanawake wenyewe wanaliongelea sana na wanapenda sana kurukwa ukuta...tayari tumesha iga mila za wenzetu na imesha kithili sana miiongoni mwa jamii hapa TZ kizazi kipya wanaita TIGO...
Rejea lile tangazo la TIGO je mpenzi utanipa TIGO....sasa ni kama fashion.
 
Topic zinazofanana na hii nimeziona sana recently...je ni kwamba watu wako interested sana katika kuingiliana kinyume na maumbile au?
Huu mtindo kwa jinsi nilivyowahi kuambiwa ni kwamba wanawake wengi haswa wanaoishi maeneo ya mwambao (Pwani) huonekana wa thamani kama wataweza kuolewa wakiwa bado bikra!! Kwa hiyo hii iliwafanya watafute njia mbadala ya kuenjoy mahusiano na wapenzi wao bila kuharibu/kuondoa Bikra!!! na kama tunavyoelewa mazoea hujenga tabia mwishoe hii ikawa tabia!!
Kwa kweli hili pia limechangiwa zaidi na kuiga maisha na mahusiano ya kizungu (kimagharibi) ambapo tendo la kuingiliana kimwili linaweza kufanyika katika njia nyingi sana km kutumia mdomo, kikwapa, matiti(maziwa), njia ya choo, na njia ya kawaida(viungo vya uzazi). Hii inatokana na watu kuenda kuangalia videos ambazo zinaonyesha wanawake na wanaume wakifurahia vitendo hivi kiasi cha kuawafanya watizamaji kuona kwamba haya matendo sio mabaya na wala hayana madhara katika afya au maisha yao ya baadae!

Mimi nashauri tu kama mwanaume tujaribu kuwa conservative.... lets stick to our old ways though inasemekana kwamba wanawake wengine watatoka hata nje ya ndoa zao ili wapate mtu anaekula tigo!! Tigo > sio nzuri kwa wote maana wanaume pia mirija huziba na kwa wanawake ndo hivyo Sphincter muscles hulegea na kufanya uwezo wa kuzuia au kuvuta pumzi kuwa ndogo au kuisha kabisa....

Nawasilisha.......
 
Mjadala mzito huu!! Ila nijuavyo Biblia inakataza mambo haya ya kuruka ukuta, tigo, kula kisamvu cha kopo na kadhalika. Mimi naipinga tabia hii sana kwa akili na nguvu zangu zote. Hata hivyo kwa kuwa binadamu ni wabishi, basi twahitaji wana JF ambao wana fani ya: Kungwi, Sosiolojia, Daktari au Muuguzi watupe elimu ya kina chimbuko na madhara ya tabia hii chafu.
 
Hili swala kazi kwelikweli,

Nilisoma na kijana mmoja A-level huko mikoa ya kati,yeye alitokea Dsm,sasa alikuwa anapenda sana kutazama blue/xxx movies,na preference yake ilikuwa hiyo inayoitwa Tigo siku hizi,one thing about him,alikuwa wazi kabisa na hakuficha interest yake katika "kuruka ukuta",kwamba anapokutana na mwanamke hiyo ndiyo njia yake.Na darasani alkiuwa anakaa na kutusimulia kabisa mambo hayo,kuna mwengine alikuwa akitokea Tanga na yeye alikuwa akitusimulia mambo hayo huko kwao.Well nilichokuja kuelewa baadae ni kuwa hii ni athari ya Waarabu ambao inasemwa wako strict sana katika kutunza bikira ya mwanamke,sasa kwa vile haya ni mahitaji ya kimwili njia waliyogundua ni "kuruka ukuta" ndo sababu mambo haya yako ukanda waliokaa sana waarabu sio pwani pekee,bara nenda Tabora ukajionee vituko,pwani inafahamika maana Mombasa ndo inasifika kwa mambo hayo.
 
Nasikia wanaume wa pwani wengi wanapenda kuwafanyia kitu mbaya wake zao, wenyewe huita 'kuruka ukuta' na hii imekuwa ikigundulika hasa wake zao wanapokwenda hospitali kujifungua na kupata taabu kwa vile fyuzi zote huwa zimeshalegea za kuwawezesha kukusanya nguvu za kusukuma mtoto.Mbali na tabu hizi pia wamekuwa wakidhalilishwa na manesi kwa matusi ya nguoni na wakati mwingine baba watoto hulazimishwa kwenda hospitali ili apewe somo la madhara ya kuruka ukuta kwa mkewe.
Kwa wale wanawake ambao wameshapatwa na mkasa huu nasikia husaidiwa kwa kuwekewa pamba sehemu husika (Katikati ya mdomo wa milima ya oldonyo rengai) ili mama aweze kukusanya presha tumboni.
Kwa wale akina baba na akina mama wa pwani mtuambie kama huu ni uzushi au ni kweli

Kumbe unasikia mzee, nilidhani unajua. Hoja yako mkuu haina mashiko. Leteni hoja za msingi jamani, siamini kama JF tumeishiwa.
 
Yawezekana huyu msimulizi wa tamthilia hii yupo katikanchi ya KUSADIKIKA, tafadhali atueleze vizuri ameyapata wapi na kama kuna mtu anayajua vizuri atueleze tafaadhali
 
Padri Kimario sio wa Pwani ila atikua akifanya kazi mwambao wa Pwani. Kwa maana hiyo hii tabia atakua aliiga kwa majirani zake. Hii pia inatupa picha kua mambo haya yapo kweli Pwani, angekua sehemu nyingine huenda asingemsibu yaliyomkuta
 
Kumbe unasikia mzee, nilidhani unajua. Hoja yako mkuu haina mashiko. Leteni hoja za msingi jamani, siamini kama JF tumeishiwa.

Kunta na wengine wenye hoja kama zako,
Hoja si lazima itoke kwangu moja kwa moja,hoja haiwezi kukosa mashiko eti kwa sababu tu kuna neno 'nasikia'.

Mimi sikuelewi una msimamo gani unapinga au unakanusha kwamba hiyo tabia haina mizizi pwani.Watu wengi waliochangia hoja wameunga mkono na wengine wamediriki kuelezea jinsi tabia hiyo ilivyoanza kwa kuhusisha akina 'Tip Tip' na Sultani. Eti hoja haina mashiko ina maana wewe hao akina mama wanaotaabika kwenye wodi za wazazi wewe huoni kama ni hoja ya msingi.Hadi dadako au mtoto wako atakapoathirika na TIGO ndipo utakapoona ni hoja.
 
Yawezekana huyu msimulizi wa tamthilia hii yupo katikanchi ya KUSADIKIKA, tafadhali atueleze vizuri ameyapata wapi na kama kuna mtu anayajua vizuri atueleze tafaadhali

Nipo tayari kukueleza vizuri isipokuwa nakuomba uwe wazi ni wapi unataka kuelewa kati ya haya mawili yaliyokuwa kwenye hoja ya msingi.
1.Wanaume wa Pwani kupenda kuruka ukuta
2.Akina mama wanaorukwa ukuta hupatwa na matatizo ya kujifungua.
Haya wapi unapotaka maelezo.
 
...Eti hoja haina mashiko ina maana wewe hao akina mama wanaotaabika kwenye wodi za wazazi wewe huoni kama ni hoja ya msingi.Hadi dadako au mtoto wako atakapoathirika na TIGO ndipo utakapoona ni hoja.


...Ohoo Kibanga, calm down, munkari wa nini ilhali weye umeanzisha mjadala? kubali tu kuna wataoleta hoja na wengine vioja!

" 'macho' huona mpaka mwanga unapoishia", kwa maana hii inategemeana na mtu atahukumu vipi tabia hii, kwa wale walobahatika kupata exposure kidogo utagundua nchi nyingi za ulaya, marekani na asia pia tabia hii imejengeka sana.

Angalau wao hawataabiki kusukuma mtoto kama ulivyosema weye, maana wana option ya caesarean Operation, japo hata nasi Bongo wenye uwezo hapana shaka wanaweza option hii!

Kuna wanaoona njia hii jitihada ya kutumia kila kiungo cha mwili kufanyia mapenzi, almuradi kumridhisha mwenza, na kuna wanaofanya vitendo hivi kwa imani chafu za kishirikina.

akili kumkichwe, kama weye huridhii usijilazimishe, maana madhara yake ni makubwa kuliko faida, kama fulani aliyesema ukianza huachi!!!...X
 


akili kumkichwe, kama weye huridhii usijilazimishe, maana madhara yake ni makubwa kuliko faida, kama fulani aliyesema ukianza huachi!!!...X

Mhh!!. Mmomonyoko wa maadili! .Nakuunga mkono, madhara ni makubwa kuliko faida.
 
Back
Top Bottom