Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Tutagiane# Wanaume wote wa mikoani hoye,nasema wanaume wa DAR mtapata tabu Sana ok.{povu sio ruksa}.
Wakuje hukuHehehehe wanaume wa mkoani mnaitwa huku
Au wewe ni wamikoani nini?hilo bwanga ndugu yake laizoni...
Kila mmoja ana asili ya mikoani kasoro wanaotoka Dodoma (Makao Makuu), kwa sasa hata tulio Dar es Salaam tupo mkoani...Au wewe ni wamikoani nini?
Tutagiane# Wanaume wote wa mikoani hoye,nasema wanaume wa DAR mtapata tabu Sana ok.{povu sio ruksa}.View attachment 832631
Hahahaha.......Tutagiane# Wanaume wote wa mikoani hoye,nasema wanaume wa DAR mtapata tabu Sana ok.{povu sio ruksa}.View attachment 832631
Natuma waitPiga picha ukiwa umevaa kama hivo alaf tutumie Na Mimi naanza kuvaa
Mwanaume mash..ne wewe,sio mavaziKwa mavazi haya hata mke wa mwanaune wa dar hawezi kukupa nyapu. Lete mengine
Wapi?nmemuona mtoa mada
KweliWacha wee