Mkuu hujakosea... huku kwetu kuku wa kisasa hatuwajui hata muonekano wao,,,,Huo ni mlenda uliojaa karanga mbichi mkuu! Huku mikoani vibanda vya chipsi kuku wa kisasa Havinaga wateja!! Sijajua kwa huko Dar!!
Wanaume wa dar mbwembwe nyingi kumbe kazi zenu kushinda kwenye dressing table!
Hadi muache ushamba!!juzi kuna mwingine nimepanda nae magari ya mwendo kasi nimempa tiketi tukapanda pale tulipoenda kushukia tumeshuka nikamuona mbio eti anampelekea suka kile ki tiketi yaani alinitia aibu sana!!Hivi wanaume wa Dar mtaacha lini kutushobokea!
Haha..ulimwelewa vibaya . jamaa kuna mtoto alimwelewa ndani bus do alikua anaenda kuchukua nambaHadi muache ushamba!!juzi kuna mwingine nimepanda nae magari ya mwendo kasi nimempa tiketi tukapanda pale tulipoenda kushukia tumeshuka nikamuona mbio eti anampelekea suka kile ki tiketi yaani alinitia aibu sana!!
Alikuwa anafuata protocol..wanaume wa mikoani tunajielewa hatutongozi hovyo bila protokaliSasa mkuu namba ndo ampelekee suka tiketi!!
Wanaume wa dar mbwembwe nyingi kumbe kazi zenu kushinda kwenye dressing table!
-Nyerere-
Huyo ni mtu mpenda usafi na hakuona dustbin, hivyo akaona bora uchafu ambabidhi dereva. Hapo mshanba ni wewe uliyetupa chini tikti yako.Hadi muache ushamba!!juzi kuna mwingine nimepanda nae magari ya mwendo kasi nimempa tiketi tukapanda pale tulipoenda kushukia tumeshuka nikamuona mbio eti anampelekea suka kile ki tiketi yaani alinitia aibu sana!!