Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,094
Ukienda kwenye joint za juice Dar wamejaa hao vijana. Pensi za kijani mpauko au za rangi ya njano, chini wana sandals na soksi
Did i call u stupid! Come on!.I said how stupid!.Now you are behaving like a fool.Silly you!Wee kigovi uwe na adabu don't call stupid kama huwezi kutumia lugha ya kiungwana soma na upite there is no necessity of commenting.
Atakuwa kanywa bia za watu wakamla mpaka tigo.Yan wewe ndo zero kabisa, ushaliwa tena yawezekana umeliwa na tigo ndo maana umekuja na poooovu! Pole hao ndo wanaume uliokutana nao, ulifikiri ule pesa zao bila kuliwa?
Go and call your parents that they are acting like fools and are silly parents for not teaching you how to use certain words and to whomDid i call u stupid! Come on!.I said how stupid!.Now you are behaving like a fool.Silly you!
Unapo niambia niwaambie wazazi wangu wanunue unajua walifariki miaka mingapi iliyopita ? Nina imani kwa comment yako hii ulikuwa hujazaliwa.Usiwe unapenda kutumia lugha za kuudhi.Inaelekea malezi yako yalikuwa na mushkeli kwamba mahali unapoishi mazungumzo yenu muda mwingi siyo ya kiungwanaWivu hakuna cha ukweli wowote waambie wazazi wako pia wanunue!
Pole mkuu.. Hao wanaume uliokutana nao kweli sio kabisaWanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Achi chi chibongeWavulana naona mnajimwambafai hapa badilikeni pumbavuuu
Kashakopwa hapo 🤣Ukiona manyoya
Mtafute kiduku lilo Ist sio gari msituchosheNa sisi wenye magari tunacomment wapi hapa!
Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Wengi watakushambilia ila ujumbe umefika na ukweli unauma utegemee mashambulizi hatari!Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Mshikaji mbona yuko sawa tu?si tupo mjini tunayaona..kuna msela yeye hana hata baiskeli lakini hua kaning'iniza funguo za gari kwenye luksi ya suluari yake na anashinda na madalali wa magari,ukimuona anatembea utajua kashuka airport kutokea Mississipi America.Hii ndiyo gharama ya kujaribu kuwa mjinga!
Wewe ni wa ajabu kama ulivyo Uzi wako.
Imenibidi nichangie tu!