Wanaume wa KISUKUMA muache UZOMBIE! Huo sio ujanja kabisaa!

Mashaxizo

JF-Expert Member
Jun 13, 2013
6,707
3,327
Hihihihihiii!
Habari zenyu wanaMMU?
...
Imekua issue ya kawaida sana kukuta wadada wengi wakiwasifia wanaume wakisukuma katika suala zima la mapenzi!
Hata humu MMU kumekuwa na thired nyingi tu za kuwasifia Wasukuma!
...
Sifa yenyewe sasa!
Eti Wasukuma wanajua kuhendo!
Kigezo kilichotumika ni uhodari wao wa KUHONGA!
Yani hawa jamaa wanahonga sana, sana, sana! Afu eti hata ukimzingua hajiui wala haui ke wake licha ya garama alizotoa! Kwa hili nawapongeza!
Uzombie wenu ni kulazimisha kumridhisha mschana hada mukiingia hasara!
.
Unakuta Msukuma anaishi nyumba ya kupanga hata chumba chake hakiko fullu mafenicha lakini atakipamba kwa garama zote chumba cha mwanamke wake!
.
Unakuta hana usafiri lakini anamnunulia gari ke ambaye hata hana future nae!
.
Unaweza kukuta katika walet yake kuna laki mbili na elfu sitini (260,000/= Tsh) but anahonga laki mbili anabaki na 60 elfu!
.
Wengine ni wanafunzi wa vyuo, tena sio boom bust, ni boom savivor! But laki 3 anaihonga kwa mkupuo mmoja!
Afu anaanza kukopa!
.
Sometimes akiwa na appointment na ke wake na hana hela, atafanya njia YEYOTE ili akahonge!
..
Afu wanapenda kujipamba ili wapendwe!
Kwa Msukuma (me) kuweka nyele dawa ie wave, soft free and others ni kawaida sana!
Kwa kweli nawahurumia sana!
.
Labda niwaulize, PILIKA ZOTE HIZO ILI MPATE MBUNYE TU au kuna lingine???
...
Imekua shida sana kuishi/kudate na msichana aliedate msukuma!
...
Mnajiona wajanja kumbe Mnahonga wenzenu tunatumia! Which means hata mhonge vipi bado mtasafa kama sisi katika kutafuta penzi la kweli!
...
My take:
hongeni kwa kiasi na kwa mujibu wa vipato vyenu! Msijione mnasifiwa, HIZO NI SIEA ZA KIJINGA!
 
Hihihihihiii!
Habari zenyu wanaMMU?
...
Imekua issue ya kawaida sana kukuta wadada wengi wakiwasifia wanaume wakisukuma katika suala zima la mapenzi!
Hata humu MMU kumekuwa na thired nyingi tu za kuwasifia Wasukuma!
...
Sifa yenyewe sasa!
Eti Wasukuma wanajua kuhendo!
Kigezo kilichotumika ni uhodari wao wa KUHONGA!
Yani hawa jamaa wanahonga sana, sana, sana! Afu eti hata ukimzingua hajiui wala haui ke wake licha ya garama alizotoa! Kwa hili nawapongeza!
Uzombie wenu ni kulazimisha kumridhisha mschana hada mukiingia hasara!
.
Unakuta Msukuma anaishi nyumba ya kupanga hata chumba chake hakiko fullu mafenicha lakini atakipamba kwa garama zote chumba cha mwanamke wake!
.
Unakuta hana usafiri lakini anamnunulia gari ke ambaye hata hana future nae!
.
Unaweza kukuta katika walet yake kuna laki mbili na elfu sitini (260,000/= Tsh) but anahonga laki mbili anabaki na 60 elfu!
.
Wengine ni wanafunzi wa vyuo, tena sio boom bust, ni boom savivor! But laki 3 anaihonga kwa mkupuo mmoja!
Afu anaanza kukopa!
.
Sometimes akiwa na appointment na ke wake na hana hela, atafanya njia YEYOTE ili akahonge!
..
Afu wanapenda kujipamba ili wapendwe!
Kwa Msukuma (me) kuweka nyele dawa ie wave, soft free and others ni kawaida sana!
Kwa kweli nawahurumia sana!
.
Labda niwaulize, PILIKA ZOTE HIZO ILI MPATE MBUNYE TU au kuna lingine???
...
Imekua shida sana kuishi/kudate na msichana aliedate msukuma!
...
Mnajiona wajanja kumbe Mnahonga wenzenu tunatumia! Which means hata mhonge vipi bado mtasafa kama sisi katika kutafuta penzi la kweli!
...
My take:
hongeni kwa kiasi na kwa mujibu wa vipato vyenu! Msijione mnasifiwa, HIZO NI SIEA ZA KIJINGA!

kwanza weka bayana wewe ni mwanamke au mwanaume?
kama ni mwanamke tafuta msukuma halafu uje utoe majibu kitandani wapoje yani wanaume wa kisukuma ni noma kitandani kama umeolewa usijalibu utamwacha mumeo kweli nakwambia.
 
kwanza weka bayana wewe ni mwanamke au mwanaume?
kama ni mwanamke tafuta msukuma halafu uje utoe majibu kitandani wapoje yani wanaume wa kisukuma ni noma kitandani kama umeolewa usijalibu utamwacha mumeo kweli nakwambia.

Mimi ni Me!
Kwa ujuzi wa kitandali hata watanga wanao!
Kuhonga na ujuzi wa kitandani kuna mahusiano kweli?
 
Mimi ni Me!
Kwa ujuzi wa kitandali hata watanga wanao!
Kuhonga na ujuzi wa kitandani kuna mahusiano kweli?

kuhonga nisehemu ndogo sana katika mapenzi jiulize kwa nini hata wanawake waliokwenye ndoa ambao wameolewa na wasukuma wanafurahia ndoa zao,je kwenye ndoa napo kunakuhonga?
Nadhani kikubwa hapa ni matunzo kwa ujumla na namna ya kurun mapenzi matunzo na kumheshimu mke hicho wasukuma wanacho ukichanganya na utalamu wa kitandani wasukuma wanakuwa mbele.
 
naona dalili za envy,wasukuma kimapenzi wako juu,kubembeleza,kujali,n.k msituumizie pse.Nyie bakini na dharau viburi vyenu
 
Hihihihihiii!
Habari zenyu wanaMMU?
...
Imekua issue ya kawaida sana kukuta wadada wengi wakiwasifia wanaume wakisukuma katika suala zima la mapenzi!
Hata humu MMU kumekuwa na thired nyingi tu za kuwasifia Wasukuma!
...
Sifa yenyewe sasa!
Eti Wasukuma wanajua kuhendo!
Kigezo kilichotumika ni uhodari wao wa KUHONGA!
Yani hawa jamaa wanahonga sana, sana, sana! Afu eti hata ukimzingua hajiui wala haui ke wake licha ya garama alizotoa! Kwa hili nawapongeza!
Uzombie wenu ni kulazimisha kumridhisha mschana hada mukiingia hasara!
.
Unakuta Msukuma anaishi nyumba ya kupanga hata chumba chake hakiko fullu mafenicha lakini atakipamba kwa garama zote chumba cha mwanamke wake!
.
Unakuta hana usafiri lakini anamnunulia gari ke ambaye hata hana future nae!
.
Unaweza kukuta katika walet yake kuna laki mbili na elfu sitini (260,000/= Tsh) but anahonga laki mbili anabaki na 60 elfu!
.
Wengine ni wanafunzi wa vyuo, tena sio boom bust, ni boom savivor! But laki 3 anaihonga kwa mkupuo mmoja!
Afu anaanza kukopa!
.
Sometimes akiwa na appointment na ke wake na hana hela, atafanya njia YEYOTE ili akahonge!
..
Afu wanapenda kujipamba ili wapendwe!
Kwa Msukuma (me) kuweka nyele dawa ie wave, soft free and others ni kawaida sana!
Kwa kweli nawahurumia sana!
.
Labda niwaulize, PILIKA ZOTE HIZO ILI MPATE MBUNYE TU au kuna lingine???
...
Imekua shida sana kuishi/kudate na msichana aliedate msukuma!
...
Mnajiona wajanja kumbe Mnahonga wenzenu tunatumia! Which means hata mhonge vipi bado mtasafa kama sisi katika kutafuta penzi la kweli!
...
My take:
hongeni kwa kiasi na kwa mujibu wa vipato vyenu! Msijione mnasifiwa, HIZO NI SIEA ZA KIJINGA!

Umefanya random sampling au simple study survey?
Questionnaire zako wakati unafanya hii tafiti uliwahoji wasukuma wangapi?
 
Ndo habari ya kuwekeza kwenye wanawake wazuri...
Na hicho ndo kinamfahisha huyo anaefanya hivyo,
Mwache afanye airidhishe nafsi yake so long hamwombi mtu msaada juu ya hilo wala haibi cha mtu katika kuyafanya hayo.........
 
kuhonga nisehemu ndogo sana katika mapenzi jiulize kwa nini hata wanawake waliokwenye ndoa ambao wameolewa na wasukuma wanafurahia ndoa zao,je kwenye ndoa napo kunakuhonga?
Nadhani kikubwa hapa ni matunzo kwa ujumla na namna ya kurun mapenzi matunzo na kumheshimu mke hicho wasukuma wanacho ukichanganya na utalamu wa kitandani wasukuma wanakuwa mbele.

Hahahahaaaa!
Wewe msukuma!
...
Kwa waliokwenye ndoa nakubaliana na wewe 100! Bila shaka ktk ndoa sio kuhonga na hela yoyote inayotoka pale ni kwa manufaa ya ndoa yao ie joint benefit!
...
Kwa wasiooa!
Ivi utaniambia hiyo mifano ya matumizi mabovu ya hela (refer thired) haujawahi kukutana nayo?
Au wewe kama wewe haujawai kufanya ivyo?
 
Najua kabisa, kee ndio wanapenda sana hizo sifa zao! Tatizo jamaa hawajihurumiii!

kwaninini unawasemea ke kama hujawahi kuhongwa huwezi kulisemea sana kwa sababu huna ushahidi wa moja kwa moja kama ungekuwa ke ningekuunga mkono laini kama wewe me unajuaje kama wanahonga sana aaaaaaaaa bana taratibu tutakutilia mashaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom