kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 5,977
- 9,063
Vijana wameharibika sana hili ni tatizo wanaume watapungua sana mbeleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigie kura msanii unayempenda kwenye tuzo za kili.sijui nini George anarudi bush zimaaaa
Ngoja tusubirie jibu lakeKwa hyo we hata wanaume wenzako wakikupita au mkipishana nao unageuka kuwaangalia nyuma????
Sielew nikipi wanachokikwepa hapo, sababu watikisa makali wapo natupishana nao sna. Sijui ni genes au vyakula lakin sio muonekano sahihi kwa rijal.Mnaombeza mleta mada ni wapuuzi sana.Jamaa kaongea ukweli wa kinyaa cha vijana wetu na mitikisiko ya makalio zaidi ya dada zao.
Huwa hamyaoni makalio hao na mitikisiko yake au mnazuga tu?
Nyambafuuu zenu wakuu,hahahahaaa
Antivirus yangu mi ndo inaua wadudu/ ya mheshimiwa yule mwenye vurugu tayari imeshatubu/ harakati bubu ZIMAAAsijui nini George anarudi bush zimaaaa
Kali gonga kali kunya/ habari huna/ i'm coming sooner/ i'm running to ya/ Kaa mbali juniorDizasta vina ndoano
View attachment 1226662
Hahahahahaaahaha tishaa sana mwambaa.......maandishi sita,,,"hip hop" foreverKali gonga kali kunya/ habari huna/ i'm coming sooner/ i'm running to ya/ Kaa mbali junior
Chiggidy mic check nnavyo right left/ Ki-refugee ka Wyclef i'm the nicest/
Priceless kama devil kukupa medal/ Tukiwa na balozi ni vituko vya getto/
Ananas Don Nyati bila mifuko ya jero/ Msikose show kali kesho miyeyusho itakuwepo...
Mmmmh! Naliamsha dude/ Hamnipi Fiesta mnamuangusha Ruge
Nampangusa kupe nini chawa/ Ufalme wako uje uliyenifanya mi nikawa hivi power
A.K.A Oscar Kambona/ Sam magoli kwenye cross ama corner/
Hawanigusi wana blow na mangoma/ Butu na Moi unaweza sema show za Makoma/ Show sana Mbota na fake chains ung'ae/ Unayemuogopa ndiye kwa section unaye
Ni yule mentor wa stereo/ Kwenye ubora wake the imperial natema vitu terrible
Hiphop imeokoa maisha yangu Lupe Fiasco/ Achia achia darasa wahuni tuje ki'hardcore/ Iga ufe kivyako/ Igiza uunge mipango
Mambo kumbe si mambo/ Mpaka usunde michango
Usiwachoreshe sana mbona gazeti tunalo/ Hawanitishi hawa Masarafina aliye late tunalo
Video zenu make up nyingi na kupepesa tu macho/ Ni kunguni mwako kikulacho
Endoparasite/ Unju Mr. Terabyte/ Game nai- terrorise/ Nawaacha hoi terrify
Najitambua so singoji kuwa verified
Wanaumwa liar bleedies/ Thats Y they tell lies
Uwepo wangu kwao ni bonge la crisis/ Najilipua kama mfuasi wa ISIS
Hatunywi sumu hatujinyongi/ Mezani kuna supu ya kuku na tungi nyomi
Kulikoni! Ulingoni Wamejaa wachovu/ Game hatulisomi sababu ya chawa mob/
Wazee wamefua check wanavyomwaga povu/ wanapiga magoti kwa Dozen na Adamu Mchomvu
Aisee s'taki shari swagger bovu/ Naacha kifo na ulemavu hamtobaki na makovu
Kwenye battle rap Unju bakora/ Nachana kinyamwezi yani mwade la mpola
Mhola duhu! Strictly hardcore ngoma ngumu/ Na wasomi wenu ndio hao wanabonga shudu/
Amani kwa mjomba Zuzu...Chizi/ Billnas amemgeuza bubu.. ZIZI/ Chill basi kama imekuwa ngumu.. SIZI/ Ku' rule ya own destiny ka' buju ni easy
Nikizama jua kina hakipimiki/ Hii ni sauti yangu na sina hati miliki/ Napiga kazi silipwi navikwa taji ki-snitch/ Kuna saa najisikia ka sihitaji marafiki
Wakali wenu wananihofia to the maximum/ Hisiya when i puff some nafia rap son/ Ni part one mwendelezo unakuja/ Ukipenda dezo utarukwa ukuta Unguja
Usifanye mchezo muda ni Yuda/ Na ukikusaliti utavuta maunga/ Nandi anauza wamemtupa Maunda/ Kule Mimi Mars anaruka na Sugar
Huyu jamaa kawaonaje? Ni ajabu! Yaani amejuaje kama wanaume wenzake wanatingisha makalio? Haya mambo ya kiliwatwi. Ila siyo mbaya! Ujumbe wake umefika.Wanaume wa dar hao wameona watikise kalio kama dada zao.
Wanaume wa mkoani tuendelee na palizi,mvua za vuli hizi.
Watangazaji wanaigana "ama nini" "dzaini kama" ushoga mtupu vipindi vya mchana sisikilizi ZIMAA/Antivirus yangu mi ndo inaua wadudu/ ya mheshimiwa yule mwenye vurugu tayari imeshatubu/ harakati bubu ZIMAAA
Hahahahaha...Hii Kiboko! G string!!!!!!!!Hahahahahaaahaha tishaa sana mwambaa.......maandishi sita,,,"hip hop" forever
unju bin unuki
Nipeni msosi kwenye bonge la bakuli/
Nishibe nifanye ujenzi john pombe magufuli/
Palilia njia watoto wabibi wapite/
Mzee wakuzungusha wananita nikki bashite/
Topa jani hilo ni ganja tu mwamba/
Darasa bila elimu mambo ni bampa to bampa/
H20 flow na supply kama dawasco/
Nawaficha kama G-string inavyofichwa na matak0/
XXL na FNL..ZimaaaWatangazaji wanaigana "ama nini" "dzaini kama" ushoga mtupu vipindi vya mchana sisikilizi ZIMAA/
"Kuchapiwa ni siri ya ndani" hayo maneno walisema kina nani, oya richadi analeta utani ZIMAA/
Azam ndio mabingwa habari za yanga mala sijui simba ZIMAA/
XXL na FNL..Zimaaa
Power J, Powered by Gay Zimaaa
Mpigie kura msanii unayemtaka kwenye tunzo ya KILI / Tangazo kama hili halina haja ya kusubiri.. Zimaaa
Kiduku Zima/Kwaito Zima/
Nyimbo za mapenzi zenye mambo ya kishenzi siziwezi ...Zimaaa
ZimaaaaBaba unasemaje???
Hahahahaha...Hii Kiboko! G string!!!!!!!!
Wasanii na burudani kama A na E/ Hii fani haina thamani ka siongei na jamii
Marapa wengi wana' float niki' trouble shoot/ verse moko double hook/ Mbishi kapuni support Kabo Snoop
Nyimbo zinavuma kwa msimu/ mkali anawekwa nyuma ka taaluma ya ualimu
Peace kwa babu Pusa ulale pema Gadafi/ Wema apunguze uchafu ili awe wema kwa wasafi
unaweza kwepa baiskeli na ukagongwa na gari/ Media zinahongwa kisha zinachonga habari
Kuota meno kwenye fizi/ Misemo na tungo hizi/ leo nitasema kila neno ka demu ambaye anapizi
Sielew nikipi wanachokikwepa hapo, sababu watikisa makali wapo natupishana nao sna. Sijui ni genes au vyakula lakin sio muonekano sahihi kwa rijal.
Unapishana najamaa anatikisa adi unageuka tenanatena kuhakisha kma kweli huyo nijamaa au demu