ldd
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 790
- 128
Hauvumi lakini umo!!! Daftari lenu la walala uchi limefikisha wanachama wangapi vile??
shudu mojaaa!
Hauvumi lakini umo!!! Daftari lenu la walala uchi limefikisha wanachama wangapi vile??
Here we go again.
More CRAP kwaajili ya kufunga mwaka.
Nyie kwenu wazuri?We mwenyewe mjanja?Au ndio wale wale?Ukute mwenyewe una sura chachu zaidi ya limao alafu unaita wenzako wabaya.
Nimeshaletewa barua ya posa.....hapa nahesabu miezi michache tu!!!
Thread nyingine mmh, nachoka kabisa!!!!
wewe mleta sredi nadhani umevuta bangi iliyovundikwa kwa mavi haram ya liguruvi (nguruwe kwa KINGONI)
pia wanawake wa kingoni wabaya
Here we go again.
More CRAP kwaajili ya kufunga mwaka.
Nyie kwenu wazuri?We mwenyewe mjanja?Au ndio wale wale?Ukute mwenyewe una sura chachu zaidi ya limao alafu unaita wenzako wabaya.
duh, nie mzuri lakini uzuri haunisaidii
Ubaya wa sura tabia!? Nawahi bar!
Mkuu kakugusa nini umekuwa mkali namna hiyo?
Lol,kwani paka leo wa2 wana cheki sura kwanza?sio pochi tena?maana wengine sura hatuna ila kwa kuonga ili tupe Ngozi usipime...Here we go again.
More CRAP kwaajili ya kufunga mwaka.
Nyie kwenu wazuri?We mwenyewe mjanja?Au ndio wale wale?Ukute mwenyewe una sura chachu zaidi ya limao alafu unaita wenzako wabaya.
shudu mojaaa!