Katika pitapita mtandaoni nikajikuta mtandao fulani kutoka taifa la Ukraine wananishawishi nijiunge na mtandao huo ilinichukua dk chache tu kujiunga cha ajabu ni kwamba baada tu ya kujiunga nilikuta message nyingi sana.
Wadada na wamama wakiomba tuwasiliane wengine tuonane ikanibidi nifanye utafiti mfupi inaonekana taifa hili lina uhaba wa wanaume rijali.
Sasa wabongo tumieni fursa hii kuwaliwaza wanawake wa Ukraine.
Wadada na wamama wakiomba tuwasiliane wengine tuonane ikanibidi nifanye utafiti mfupi inaonekana taifa hili lina uhaba wa wanaume rijali.
Sasa wabongo tumieni fursa hii kuwaliwaza wanawake wa Ukraine.